Respondent: | THE LIFE HOOD OF CHILDREN AND DEVELOPMENT SOCIETY |
---|---|
Time Submitted: | June 19, 2011 at 9:20 PM EAT |
Introduction
THE LIFE HOOD OF CHILDREN AND DEVELOPMENT SOCIETY
LICHIDE
USHURIKISHAJI JAMII KATIKA KUSAIDIA WATOTO YATIMA NA WALIO KATIKA MAZINGIRA MAGUMU
FCS/MG/2/08/008
Dates: (No Response) | Quarter(s): 2011 |
BENSON A. MWANG'OMBOLA
S.L.P. 416,
SUMBAWANGA
MOBILE:+255754647359
E-mail:baswile@yahoo.com
S.L.P. 416,
SUMBAWANGA
MOBILE:+255754647359
E-mail:baswile@yahoo.com
Project Description
(No Response)
Kuboreka kwa maisha ya watoto yatima na walio katika mazingira magumu
Region | District | Ward | Villages | Total Beneficiaries |
---|---|---|---|---|
Rukwa | Sumbawanga | Kalambazite | Mshani | |
Kalambazite | ||||
Mrombo | ||||
Kilembo | ||||
Tentula | ||||
Rukwa | Ikozi |
Direct Beneficiaries | Indirect Beneficiaries | |
---|---|---|
Female | 193 | (No Response) |
Male | 72 | (No Response) |
Total | 265 | 844 |
Project Outputs and Activities
1.Uelewa wa jamii kuhusu umuhimu wa kutunza na kusaidia watoto yatima na walio katika mazingira magumu
2.Ongezeko ya watoto yatima na walio katika mazingira hatarishi wanao andikishwa shule na kujiunga na masomo ya sekondari
3.Jamii kuanzisha mfuko wa huduma za jamii.
2.Ongezeko ya watoto yatima na walio katika mazingira hatarishi wanao andikishwa shule na kujiunga na masomo ya sekondari
3.Jamii kuanzisha mfuko wa huduma za jamii.
(1).Maandalizi ya mradi. (2)Mafunzo kwa kamati za huduma ya watoto yatima katika kata 3 na kila kata vijiji 3 na washiriki 160 katika makundi 3 na kila kundi washiriki 40. (3). Mafunzo kwa akina mama walea watoto yatima. (4) Kutengeneza na kusambaza vipeperushi. (5) Kufanya mikutano ya hadhara 120. (6) Kufanya ufuatiliaji na tathimini ya mradi
1. Kata ya Kalambazite tulitoa mafunzo kwa kamati za kutoa huduma za huduma za watoto yatima na walio katika mazingira hatarishi washiriki wapatao 43 mnamo tarehe 28-30/01/2010 na tarehe 01/02/2010 tulitoa mafunzo kwa akina mama walea watoto yatima na walio katika mazingira hatarishi washiriki 39
2.Kata ya KipetaTarehe 21-3/02/2010 mafunzo kwa akina mama walea watoto yatima washiriki 42 na tarehe 24-27/02/2010 tulitoa mafunzo kwa kamati za huduma ya watoto tatima washiriki walikua watu 32
3. Tarehe 07-09/08/2010 tulitoa mafunzo kwa kamati ya kutoa huduma za watoto yatima na walio katika mazingira magumu na tarehe 19-21/08/2010 tulitoa mafunzo kwa akina mama walea watoto yatima
3. tarehe 19-21/20210 tulitoa mafunzo kwa kati ya kutoa huduma kwa watoto yatima washiriki
2.Kata ya KipetaTarehe 21-3/02/2010 mafunzo kwa akina mama walea watoto yatima washiriki 42 na tarehe 24-27/02/2010 tulitoa mafunzo kwa kamati za huduma ya watoto tatima washiriki walikua watu 32
3. Tarehe 07-09/08/2010 tulitoa mafunzo kwa kamati ya kutoa huduma za watoto yatima na walio katika mazingira magumu na tarehe 19-21/08/2010 tulitoa mafunzo kwa akina mama walea watoto yatima
3. tarehe 19-21/20210 tulitoa mafunzo kwa kati ya kutoa huduma kwa watoto yatima washiriki
Tofauti zilizojitokeza ni tulishindwa kufanya shughuli zetu kwa wakati kutokana na hali ya hewa baadhi ya maeneo mvua iliharibu miundo mbinu na kufanya barabara kutopitika
Kiasi cha TSH. 21,382,000 Zilitumika
Project Outcomes and Impact
Kuboreka kwa maisha ya watoto yatima na walio katika mazingira hatarishi
1.Kamati za vijiji zimepat elimu na kuwa na uelewa. 2. Vijiji na kata kuanzisha mifuko ya huduma za watoto yatima na walio katika mazuingira magumu
Ni kuwepo ushirikiano na viongozi kuanzia ngazi ya wilaya hadi kijiji na kupanga mikakati ya pamoja na kugawana majukumu kila taasisi katika kushughulikia watoto yatima na walio katika mazingira hatarishi
Baadhi ya viongozi wa serikali za vijiji kamati zilipokusanya michango kutoka kwa wananchi waliweza kutumia michango vibaya na swala hili tumelifikisha ngazi ya wilaya kwa kuchukua hatua.
Lessons Learned
Explanation |
---|
Kuwa ukishirikisha jamii katika mipango na utekelezaji jamii inatoa ushirkiano mzuri. |
Tumejifunza kuawa miradi mingine inakwama kufanikiwa ni kutokana na viongozi kuweka maslahi yao mbele kwanza kuliko walengwa |
Tumejifunza kuwa kufanya mradi kipindi cha uchaguzi utekelezaji wake unakuwa mgumu kutokana na wanasiasa kutotoa ushirikiano kuogopa kutochaguliwa na wananchi. |
Tumejifunza kuwa kumbe watoto wengi wanapenda kwenda shuleni lakini wanashindwa kutokana na kutokuwa na mahitaji muhimu ya shuleni pamoja na sare. |
Challenges
Challenge | How it was overcome |
---|---|
Baadhi ya viongozi kutotoa ushirikiano mzuri | Tuliitisha kikao cha viongozi wa ngazi ya Halmashauri, kata na madiwani wa maeneo tunayofanyia kazi pamoja na DAS kama mgeni rasmii na kikao kilikuwa na mafanikio kwa kuwa kila mtu alijitambua udhaifu wake na tumepanga mikakati ya pamoja na kila mtu amepewa majukumu atakayotekeleza kuhusu watoto yatima na walio katika mazingiraa hatarishi. |
Mabadilikoya hali ya hewa | Haya yalikuwa juu ya uwezo wetu |
Kutopewa fedha kwa wakati | Liko juu ya uwezo wetu |
Kuwepo kwa miundo mibovu | Liko juu ya uwezo wetu |
Kupanda kwa mafuta wakati tunaandika bajeti na kutuma Foundation bei ilikuwa Sh.1,300/= na tulipoanza utelelezaji mafuta bei ikawa Sh.2.200/= na kufanya gharama ya mradi kuathiri baadhi shughuli | Tulitoa taarifa FCS na tukaamua kupunguza baadhi ya safari lakini bila kuadhiri utekelezaji mradi |
Kutokuwa na vitendea kazi kama gari nako kumechangia kulefusha muda wa utelelezaji kwa kuwa tunategema magari ya kuazima kutoka kwa Mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya. anapokuwa na shughuli nyingi kwake tunasubiri hadi zipungue ndipo anatupa gari | Taasisi yetu ni changa, lakini tunamikakati ya kutafuta usafiri wetu wa kutuwezesha kutufikisha mahali mradi ulipo kwa wakati. |
Linkages
Stakeholder | How you worked with them |
---|---|
Mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya Sumbawanga | Anashiriki kwa kutoa wataalamu na usafiri tunapohitaji. |
Watendaji wa kata, madiwani na serikali za vijiji | Wanashiriki kusimamia utekelezaji wa mradi |
Wananchi | Wanashiriki katika kutekeleza mradi |
Walimu wa shule za msingi na sekondari | Wanashiriki katika utambuzi wa watoto walio katika mazingira hatarishi |
Akinamama walea watoto yatima | Wanauelewa mzuri wa wajibu wao na kuondoa unyanyasaji kwa watoto yatima. |
Future Plans
Activities Planned | 1st Month | 2nd Month | 3rd Month |
---|---|---|---|
Ufuatiliaji na kuimarisha kamati za vijiji shughuli za utekelezaji mradi | wa kwanza |
Beneficiaries Reached
Direct Beneficiaries | Indirect Beneficiaries | ||
---|---|---|---|
Widows | Female | (No Response) | (No Response) |
Male | (No Response) | (No Response) | |
Total | (No Response) | (No Response) | |
People living with HIV/AIDS | Female | (No Response) | (No Response) |
Male | (No Response) | (No Response) | |
Total | (No Response) | (No Response) | |
Elderly | Female | (No Response) | (No Response) |
Male | (No Response) | (No Response) | |
Total | (No Response) | (No Response) | |
Orphans | Female | 407 | (No Response) |
Male | 437 | (No Response) | |
Total | 844 | (No Response) | |
Children | Female | (No Response) | (No Response) |
Male | (No Response) | (No Response) | |
Total | (No Response) | (No Response) | |
Disabled | Female | (No Response) | (No Response) |
Male | (No Response) | (No Response) | |
Total | (No Response) | (No Response) | |
Youth | Female | (No Response) | (No Response) |
Male | (No Response) | (No Response) | |
Total | (No Response) | (No Response) | |
Other | Female | 196 | (No Response) |
Male | 72 | (No Response) | |
Total | 268 | (No Response) |
(No Response)
Events Attended
Type of Event | When | Lessons | Actions Taken |
---|---|---|---|
Tamasha la tuzo la asasa zilizofanya vizuri katika utekelezaji wa miradi iliyofadhiliwa na FCS na tulipata cheti | 2006/2007 AICC Arusha | kuwa waangalifu na kutekeleza miradi kwa makini kufuatano na mlivyoombea | Utekelezaji na usimamizi mzuri wa miradi yetu |
Usimamizi wa fedha na utekelezaji wa mradi | 2009 Dodoma Hotel | kusimamia fedha kwa makini na kutekeleza miradi kwa kufuata mpangokazi na shughuli kama mlivyopanga na kuweza kutekeleza mradi kwa ufanisi | Imetusadia kutekeleza mradi miradi yetu mbalimbali kwa ufanisi |
Usimamizi wa fedha za miradi na utekelezaji | 2006Ukumbi wa maaskofu kurasini Dar es Salaam | Usimamizi wa fedha na miradi namna kutekeleza | Ilitusaidia sana kwa kutupa mwanga mzuri ambao ndiyo inatusaidia na sasa katika kutekeleza miradi mbalimbali. |
Attachments
(No Response)
« Back to report