Log in
Foundation for Civil Society

Foundation for Civil Society

Dar es Salaam, Tanzania

Describe any experience and ideas that you obtained from implementing the project

Explanation
Many women in the pilot area have been never reached and senstized in HIV/AIDS, Malaria, Women Rights and Economic Empowerment (Entrepreneurship)
Infrustracture in reaching the pilot periferal pilot regions is very poor hindering many people to choose working with them
Poverty is a serious agenda making the beneficiaries wanting to be paid full allowance, travelling, food and accommodation to attend any training, even to participaty in an interview
Explanation
Jamii ya watu hasa wanaoishi mbali na makao makuu ya kata taarifa nyingi hawazipati kutokana na viongozi wa vijiji kushindwa kuzifuatilia kwa madai kwamba hawana vitendea kazi kama vile usafiri.
Vikundi vingi vya kijamii hasa vilivyoanzishwa na CARE kwa lengo la kujiwekea pesa (VICOBA) viongozi wa vikundi hivyo baadhi yao hawaelewi wajibu wao katika suala zima la utunzaji kumbukumbu za fedha na nyaraka nyingine muhimu.
Wananchi hawana moyo wa kujitolea na kujituma kwa ajili ya maendeleo yao. Jambo wanalipokea lakini mwisho wa siku wanaliacha palepale bila kuanza kulitekeleza. mfano: Mh. Diwani wa Yombo alitoa falsafa ya U-3 maana yake ni Utambizi, Uchambuzi na Utekelezaji.
Wananchi wanamuitikio mkubwa sana kwenye mambo semina na warsha lakini hawana muitikio katika shughuli za maendeleo ya vijiji. Mfano: kuna jengo lilianzishwa mwaka 2007 kwa msaada wa SIDO ili wananchi wasindike unga wa muhogo lakini hadi hivi leo jengo hilo limebakia palepale ambapo msaada wa SIDO ulipoishia.
Explanation
1. Use of peer sensitization to target groups and use of visual technique has resulted to increased understanding on HIV/AIDS phenomenon among the youth. The targeted youth in Kinondoni district (youth from korogwe, Handeni, Chalinze, Arusha, Kiteto) are sensitized about HIV/AIDS and are ready for counseling and voluntary services if linked. With respect to rights education, increased consultation with LHRC for various issues of abuse.



2. Continuous discussion of project sustainability resulted to target group self establishment of VSLAs project – this strategy not only will it improve income level for the youth but will serves as a self propelling sustainable mechanism to the LIVES urban program. Already, the strategy is attracting in-group members who are eager to join! A total of 3 groups have raised savings of up to 500,000 Tshs and community funds of around 200,000Tshs as of September 2010 to the reporting period.




3. LIVES cultural approach to project implementation led to improved safety nets the youth in the urban; since June, 2010, 3 existing groups totaling 90 group members have spent around 800, 000 Tshs for helping the sick and transporting the dead to homestead. In the same note ideas on how to support fellow unemployed youth continue to dominate youth discussions. Ideas to facilitate start-up capital (that has reasonable interest rate) to new youth coming to the city with no employment at the beginning are in the youth on going discussion.





4. Kinondoni district council( along with key departments Planning, Education, Legal officer and especially Community HIV/AIDS Coordinator) are not aware of the magnitude of HIV/AIDS in the district despite of a number of actors in the district dealing with HIV/AIDS.


Kinondoni district council particularly CHAC office and other key departments strongly are willing and ready to maistream HIV/AIDS for the youth in their plans.
« Previous questionNext question »

« Back to report