Log in
FAIDIKA WOTE PAMOJA

FAIDIKA WOTE PAMOJA

Wilaya ya Mtwara, Tanzania

Parts of this page are in Swahili. Edit translations

SHIRIKA LA FAWOPA tunatarajia kuwapatia watoto waishio katika mazingira magumu mahitaji ya msingi ya shuleni.  tunakusudia kuwapatia watoto wawili baiskeli kwa ajili ya kuendea shuleni na wengine tunakusudia kuwapatia daftari, peni pamoja na sare za shule.  misaada hii inatoka kwa wanachama wa FAWOPA wenyewe kwa kuchangishana na sio kwamba tunapata kutoka kwa wafadhili hapana.  FAWOPA hatuna wafadhili bali tunatumia nguvu zetu pamoja na juhudi na maarifa ya wanakamati kwa nia moja tu ya kusaidia watoto ambao ni Taifa la kesho.

May 18, 2011

Comments (4)

Baltazar B. Komba-mtumwa wa watu said:
Ndugu zetu wote mnao tupenda na kufuatilia tovuti yetu tunapenda kuwaombeni radhi kuwa bado tunafanya maandalizi kabambe ya kuingiza habari,taarifa, na picha za matukio ya shuguli zetu katika najuwa kuwa mnaboreka lakini naomaba tuvumilieni hivi suni mambo yatakuwa murua kabisa haya ahsantenisa sana
August 17, 2011
Mlangira,Bornface (DSM) said:
MTWARA LIFE IS SO HIGH PARTICULARLY IN COST OF LIVING WHICH TEND TO AFFECT THE ACADEMIC PERFORMANCE IN EVERY YEAR IN ALL NECTA EXAMS.NOW YOU (FAWOPA)AND OTHER NGOs WHAT IS YOUR EFFORT ON THAT DISASTER.
December 16, 2011
Mlangira,Bornface (SFASM-MTWARA TOWN) said:
Kupitia mtandao huu asasi yenu inafaidikaje katika kutimiza malengo yenu
December 16, 2011
bornface Mlangira (rwanda) said:
Nita kueleza kuhusu hilo swali lako baada ya kuongea na baadhi ya wadu wa elimu na wakakzi wa Mtwara kwa ujumla.na matumizi ya wavut yetu yatakuwa imara hivi karibu kwa kuwana taarifa na mapicha.
December 19, 2011

Add a comment

Your name:
Your location:
Your email:
(optional)
Your email address will not be published.