Uru rupapuro ruragaragazwa mu rurimi rw'umwimerere Igiswayire. Edit translations
FCS Narrative Report
Introduction
ARV Esupat Group
ESUPATI GROUP
Uhamasishaji na mafunzo kwa jamii ya Kata ya Unga Limited na Sokoni 1 kupima VVU/Ukimwi kupunguza maambukizi mapya
FCS/RSC/13/9/088
Dates: 14/12/2010 - 13/3/2011 | Quarter(s): 1 |
SAIDI WALELE
P.O.BO 3022
ARUSHA
P.O.BO 3022
ARUSHA
Project Description
Policy Engagement
Uhamasishaji na mafunzo ya kuzuia maambukizi mapya ya VVU inatekeleza sera ya ukimwi kuhusu kudhibiti maambukizi mapya ya VVU. Jamii ikihamasika na kuelewa kuhusu maambukizi ya VVU itaona umuhimi wa kujizuia kupata maambukizi mapya na hivyo sera ya kudhibiti ukimwi itakuwa imetekelezwa kwa vitendo. Ufahamu wa jamii kuhusu maambukizi ya ukimwi ukiwa mdogo itakuwa vigumu kutekeleza sera husika.
Sera inatungwa na chombo cha serikali lakini wabia wa kutekeleza sera ni jamii kupitia aassi za kijamii kama wadau wa utekelezaji miradi ya jamii, hivyo ARV ESUPAT GROUP kama asasi ya kijamii ina wajibu na lengo la kutoa mchango kwa jamii katika kukidhi mahitaji, matakwa na malengo ya sera ya tafa ya kudhibiti maambukuzi mapya ya VVU.
Sera inatungwa na chombo cha serikali lakini wabia wa kutekeleza sera ni jamii kupitia aassi za kijamii kama wadau wa utekelezaji miradi ya jamii, hivyo ARV ESUPAT GROUP kama asasi ya kijamii ina wajibu na lengo la kutoa mchango kwa jamii katika kukidhi mahitaji, matakwa na malengo ya sera ya tafa ya kudhibiti maambukuzi mapya ya VVU.
Region | District | Ward | Villages | Total Beneficiaries |
---|---|---|---|---|
Arusha | Arusha | Sokoni 1 | 3,000 | |
Arusha | Arusha | Unga Limited | 2,000 |
Direct Beneficiaries | Indirect Beneficiaries | |
---|---|---|
Female | 172 | 3720 |
Male | 108 | 1000 |
Total | 280 | 4720 |
Project Outputs and Activities
1. Kupungua kwa Unyanyapaa kwa watu wanaoishi na VVU/ UKIMWI
2. Jamii kujitokerza kwa hiari kupima VVU
3. Jamii kuwa wazi zaidi kuhusu maambukizi ya VVU
2. Jamii kujitokerza kwa hiari kupima VVU
3. Jamii kuwa wazi zaidi kuhusu maambukizi ya VVU
1. Mafunzo kwa waelimishaji rika 20 kuhusu unyanyapaa na umuhimu wa kupima VVU
2. Mafunzo kwa jamii kuhusu unyanyapaa na umuhimu wa kupima VVU
3. Hamasa kwa jamii kupima VVU
4. kuelimisha jamii kwa kutumia vipeperushi
6. Kutathmini mradi
2. Mafunzo kwa jamii kuhusu unyanyapaa na umuhimu wa kupima VVU
3. Hamasa kwa jamii kupima VVU
4. kuelimisha jamii kwa kutumia vipeperushi
6. Kutathmini mradi
1. Mafunzo yalitolewa kwa waelimishaji rika 20 katika semina iliyofanyika tarehe 14/12/2010 na 16/2/2011 katika ukumbi wa community church mada zillizotolewa kuhusu VVU/ UKIMWI ambazo walizielewa vizuri.
2. Waelimishaji rika 20 waliopata mafunzo walitoa mafunzo kwa jamii kwa watu 240 katika vikao vitatu.kuhusu umuhimu wa kupima VVU/ UKIMWI
3. Waelimishaji rika 20 walifanya mikutano ya hamasa kati ya tarehe 7/2/2011 na 17/2/201 katika sehemu za kazi, sokoni na sehemu zenye mikusanyiko ya watu kuhusu umuhimu wa kupima VVU
4 Tarehe 3/2/2011 vipeperushi 1000 vilitengenezwa na kupewa waelimishaji rika 20 ambao walivisambaza sehemu mbalimbali.katika Kata za Unga Limited na Sokon 1
5. Mkutano wa tathimini ulifanyika tarehe 4/3/2011 katika ukumbi wa Community church, Arusha na kuhudhuriwa na wadqau 40 toka serikalini, asasi za kirai na jamii kwa ujumla.
6. Usimamizi na utawala wa mradi.ulifanyika katika kipindi cha mradi toka tarehe 1412/2011 hadi 13/3/2011
2. Waelimishaji rika 20 waliopata mafunzo walitoa mafunzo kwa jamii kwa watu 240 katika vikao vitatu.kuhusu umuhimu wa kupima VVU/ UKIMWI
3. Waelimishaji rika 20 walifanya mikutano ya hamasa kati ya tarehe 7/2/2011 na 17/2/201 katika sehemu za kazi, sokoni na sehemu zenye mikusanyiko ya watu kuhusu umuhimu wa kupima VVU
4 Tarehe 3/2/2011 vipeperushi 1000 vilitengenezwa na kupewa waelimishaji rika 20 ambao walivisambaza sehemu mbalimbali.katika Kata za Unga Limited na Sokon 1
5. Mkutano wa tathimini ulifanyika tarehe 4/3/2011 katika ukumbi wa Community church, Arusha na kuhudhuriwa na wadqau 40 toka serikalini, asasi za kirai na jamii kwa ujumla.
6. Usimamizi na utawala wa mradi.ulifanyika katika kipindi cha mradi toka tarehe 1412/2011 hadi 13/3/2011
Mradi haukuwafikia makundi maalumu ya walemavu, wajane, wazee, yatima na vijana kwa sababu ya uchache wa rasilimali watu na fedha.
1. Kutoa mafunzo kwa welimishaji rika shs 458,000
2. Waelimishaji rika kutoa mafunzo shs 1,432,700
3. Kufanya mikutano ya hadhara shs shs 1,423,000
4. Kutengeneza na kusambaza vipeperushi shs 300,000
5. Mkutano wa tathimini shs 1,065,000
6. Utawala
Jumla 4,678,700
2. Waelimishaji rika kutoa mafunzo shs 1,432,700
3. Kufanya mikutano ya hadhara shs shs 1,423,000
4. Kutengeneza na kusambaza vipeperushi shs 300,000
5. Mkutano wa tathimini shs 1,065,000
6. Utawala
Jumla 4,678,700
Project Outcomes and Impact
Kpungua kwa kasi ya maambukizi ya VVU/ UKIMWI katika Kata ya Unga Limited na Sokoni 1 katika mwaka 2011
Jamii katika kata za Unga Limited na Sokoni 1 wamehamasika na kupata elimu na kuchukua hatua ya kupima VVU/ UKIMWI wengi wamebadili tabia na kuacha tabia hatarishi, unyanyapaa umepungua na watu wanajitoleza kwa hiari kupima VVU.
Uelewa wa jamii kuhusu adhari ya maambukizi mapya ya VVU umeongezeka na hivyo wengi wanachukua kinga kuzuia maambukizi mapya hivyo maambukizi mapya ya VVU yamepungua.
Mfumuko wa waganga wa jadi wenye kudai kwamba wana dawa ya asili ambayo ni mbadala wa kutibu Ukimwi na magonjwa sugu imezuia baadhi ya watu kuacha huduma za hospitali za kupima VVU mfano Babu wa Loliongo ambaye anatoa kikombe kwa sh 500.
Lessons Learned
Explanation |
---|
Ushiriki wa wanawake katika mikutano ulikuwa mkubwa kuliko wa wanaume pia wanawake ni wajasiri zaidi wenye ari na moyo wa kuwawazi na kusaidia jamii |
Mfumo wa kutoa elimu kwa jamii ni dhaifu na pia hakuna vifaa za kusaidia utoaji elimu kwa umma kwa urahisi |
Mfumo rasmi wa kutoa ushauri na huduma za tiba kwa umma haupo na vituo vya upimaji |
Upimaji vvu ni vichache katika manispaa ya arusha |
Hakuna mfumo rasmi wa utoaji habari na mawasiliano sahih kati ya serikali za mitaa na asasi za kijamii na jamii |
Tiba ya ukimwi bado ni tatizo na kuna ongezeko kubwa la huduma ya tiba mbadla ya jadi na asili inayoendana na ongezeko ya dhana inayoendana na ongezeko ya dhana potofu ya kuamini tiba mbadala |
Challenges
Challenge | How it was overcome |
---|---|
Elimu na mfumo dunI katika jamii wa kutoa eliumu na hamasa katika jamii kuhusu kuouima VVU | Haikuiwezekana kukabiliana na kutojua kusoma hhivyo haikuwa rahisi kuwafikia watu wengi. |
Kuwepo kwa waganga wa tiba za asili ambao ni waongo wenye kupotosha umma | Tumejaribu kutoa tahadhari kuhusu kuwepo kwa maelezo potofutoka kwa waghanga wa jadi. |
Wanaume kukosa ari na moyo wa kuwa wazi kuhusu kuishi na VVU. | kKuwatumia wanawake majasiri kuwajengea wenzi wao ujasiri wa kuwa wazi kuhusu vvu |
Kutokuwepo na vituo vya kupima VVU katika Kata ya Unga Limited na sokoni 1 | Matangazo yalitolewa watu wakapime katika kituo cha Angaza katika Kata ya Levolosi |
Zana na mbinu hafifu ya kuwafikia walemavu wa aina mbalimbali | Hakua rahisi kukabiliana na changamoto hii |
Watu wengi katika kata za sokoni 1 na ungalimited hawajapima vvu | Mtano ya hamasa ilitumika kuhamasisha jamii kwenda kupima vvu |
Ugumu wa kufanya mikutano ya hadhara kwa mafanikio | Mkusanyiko ya watu katika maeneo yao katika maeneo yao ya kazi ilitumika kuhamasisha watu kupima VVU |
Uwezo wa asasi ya ARV Esupati Group bado ni mdogo | Kutumia uwezo mdogo uliokuwepo |
Asasi ya ARV Esupati kutofahamika vizuri kwa jamii | Asasi ilitumia viongozi wa mtaa kujitangaza. |
Linkages
Stakeholder | How you worked with them |
---|---|
Manispaa ya arusha | Afisa maendeleo ya jamii alishirikishwa hatua zote za mradi ambaye ndiye alitambulisha mradi kwa watendaji wa kata za Sokoni 1 na Unga Limited. Walihudhuria kikao cha tathmini. |
Serikali za kata | Watendaji wa kata walishirikishwa mbao ndio waliutambulisha mradi kwa watendaji na wenyeviti wa mitaa |
Serikali za mitaa | Wenyevikiti wa mitaa walisaidia kutoa matangazo kwa wananchi na pia walitoa orodha ya walengwa wanaoishi katika maeneo yao kwa asasi ya ARV Esupat Group |
Asasi ya waviu uitwayo Arusha Living Positively with HIV AIDS ALPHA+ | Viongozi wa Alpha walishiriki kwa kubadilishana uzoefu na timu ya esupatiGroup |
Asasi ya waviu ya Tumaini Post Test TUPO) | Viongozi wa tupo walishiriki kwa timu ya ARV Esupat Group |
Future Plans
(No Response)
Beneficiaries Reached
Direct Beneficiaries | Indirect Beneficiaries | ||
---|---|---|---|
Widows | Female | 7 | (No Response) |
Male | 3 | (No Response) | |
Total | 10 | (No Response) | |
People living with HIV/AIDS | Female | 100 | (No Response) |
Male | 45 | (No Response) | |
Total | 145 | (No Response) | |
Elderly | Female | 15 | (No Response) |
Male | 10 | (No Response) | |
Total | 25 | (No Response) | |
Orphans | Female | (No Response) | (No Response) |
Male | (No Response) | (No Response) | |
Total | (No Response) | (No Response) | |
Children | Female | (No Response) | (No Response) |
Male | (No Response) | (No Response) | |
Total | (No Response) | (No Response) | |
Disabled | Female | (No Response) | (No Response) |
Male | (No Response) | (No Response) | |
Total | (No Response) | (No Response) | |
Youth | Female | (No Response) | (No Response) |
Male | (No Response) | (No Response) | |
Total | (No Response) | (No Response) | |
Other | Female | 50 | 3720 |
Male | 50 | 1000 | |
Total | 100 | 4720 |
(No Response)
Events Attended
Type of Event | When | Lessons | Actions Taken |
---|---|---|---|
Mafunzo yaliyofanyika Dodoma | Tarehe 8/10/2009 | Mwongozo wa utekelezaji na usimamizi wa mradi | Mwongozo ulitumika katika kusimamia mradi |
Mafuzo yaliyofanyika DSM | Tarewhe 19/3/2010 | Mafunzo ya fund raising | Elimu ilitumika katika kusimamia mradi |
Mafunzo yaliofanyika DSM DSM | Tarehe 19/5/2011 | Mafunzo ya uthibiti wa fedha za mradi | Elimu ilitumika katika kusimamia mradi |