Injira
ARV Esupat Group

ARV Esupat Group

Unga Limitedi, Arusha, Tanzania

Uru rupapuro ruragaragazwa mu rurimi rw'umwimerere Igiswayire. Edit translations

FCS Narrative Report

Introduction

ARV Esupat Group
ESUPATI GROUP
Uhamasishaji na mafunzo kwa jamii ya Kata ya Unga Limited na Sokoni 1 kupima VVU/Ukimwi kupunguza maambukizi mapya
FCS/RSC/13/9/088
Dates: 14/12/2010 - 13/3/2011Quarter(s): 1
SAIDI WALELE
P.O.BO 3022
ARUSHA

Project Description

Policy Engagement
Uhamasishaji na mafunzo ya kuzuia maambukizi mapya ya VVU inatekeleza sera ya ukimwi kuhusu kudhibiti maambukizi mapya ya VVU. Jamii ikihamasika na kuelewa kuhusu maambukizi ya VVU itaona umuhimi wa kujizuia kupata maambukizi mapya na hivyo sera ya kudhibiti ukimwi itakuwa imetekelezwa kwa vitendo. Ufahamu wa jamii kuhusu maambukizi ya ukimwi ukiwa mdogo itakuwa vigumu kutekeleza sera husika.

Sera inatungwa na chombo cha serikali lakini wabia wa kutekeleza sera ni jamii kupitia aassi za kijamii kama wadau wa utekelezaji miradi ya jamii, hivyo ARV ESUPAT GROUP kama asasi ya kijamii ina wajibu na lengo la kutoa mchango kwa jamii katika kukidhi mahitaji, matakwa na malengo ya sera ya tafa ya kudhibiti maambukuzi mapya ya VVU.


RegionDistrictWardVillagesTotal Beneficiaries
ArushaArushaSokoni 13,000
ArushaArushaUnga Limited2,000
 Direct BeneficiariesIndirect Beneficiaries
Female1723720
Male1081000
Total2804720

Project Outputs and Activities

1. Kupungua kwa Unyanyapaa kwa watu wanaoishi na VVU/ UKIMWI

2. Jamii kujitokerza kwa hiari kupima VVU

3. Jamii kuwa wazi zaidi kuhusu maambukizi ya VVU
1. Mafunzo kwa waelimishaji rika 20 kuhusu unyanyapaa na umuhimu wa kupima VVU
2. Mafunzo kwa jamii kuhusu unyanyapaa na umuhimu wa kupima VVU
3. Hamasa kwa jamii kupima VVU
4. kuelimisha jamii kwa kutumia vipeperushi
6. Kutathmini mradi
1. Mafunzo yalitolewa kwa waelimishaji rika 20 katika semina iliyofanyika tarehe 14/12/2010 na 16/2/2011 katika ukumbi wa community church mada zillizotolewa kuhusu VVU/ UKIMWI ambazo walizielewa vizuri.

2. Waelimishaji rika 20 waliopata mafunzo walitoa mafunzo kwa jamii kwa watu 240 katika vikao vitatu.kuhusu umuhimu wa kupima VVU/ UKIMWI

3. Waelimishaji rika 20 walifanya mikutano ya hamasa kati ya tarehe 7/2/2011 na 17/2/201 katika sehemu za kazi, sokoni na sehemu zenye mikusanyiko ya watu kuhusu umuhimu wa kupima VVU

4 Tarehe 3/2/2011 vipeperushi 1000 vilitengenezwa na kupewa waelimishaji rika 20 ambao walivisambaza sehemu mbalimbali.katika Kata za Unga Limited na Sokon 1

5. Mkutano wa tathimini ulifanyika tarehe 4/3/2011 katika ukumbi wa Community church, Arusha na kuhudhuriwa na wadqau 40 toka serikalini, asasi za kirai na jamii kwa ujumla.

6. Usimamizi na utawala wa mradi.ulifanyika katika kipindi cha mradi toka tarehe 1412/2011 hadi 13/3/2011

Mradi haukuwafikia makundi maalumu ya walemavu, wajane, wazee, yatima na vijana kwa sababu ya uchache wa rasilimali watu na fedha.
1. Kutoa mafunzo kwa welimishaji rika shs 458,000
2. Waelimishaji rika kutoa mafunzo shs 1,432,700
3. Kufanya mikutano ya hadhara shs shs 1,423,000
4. Kutengeneza na kusambaza vipeperushi shs 300,000
5. Mkutano wa tathimini shs 1,065,000
6. Utawala
Jumla 4,678,700

Project Outcomes and Impact

Kpungua kwa kasi ya maambukizi ya VVU/ UKIMWI katika Kata ya Unga Limited na Sokoni 1 katika mwaka 2011
Jamii katika kata za Unga Limited na Sokoni 1 wamehamasika na kupata elimu na kuchukua hatua ya kupima VVU/ UKIMWI wengi wamebadili tabia na kuacha tabia hatarishi, unyanyapaa umepungua na watu wanajitoleza kwa hiari kupima VVU.
Uelewa wa jamii kuhusu adhari ya maambukizi mapya ya VVU umeongezeka na hivyo wengi wanachukua kinga kuzuia maambukizi mapya hivyo maambukizi mapya ya VVU yamepungua.
Mfumuko wa waganga wa jadi wenye kudai kwamba wana dawa ya asili ambayo ni mbadala wa kutibu Ukimwi na magonjwa sugu imezuia baadhi ya watu kuacha huduma za hospitali za kupima VVU mfano Babu wa Loliongo ambaye anatoa kikombe kwa sh 500.

Lessons Learned

Explanation
Ushiriki wa wanawake katika mikutano ulikuwa mkubwa kuliko wa wanaume pia wanawake ni wajasiri zaidi wenye ari na moyo wa kuwawazi na kusaidia jamii
Mfumo wa kutoa elimu kwa jamii ni dhaifu na pia hakuna vifaa za kusaidia utoaji elimu kwa umma kwa urahisi
Mfumo rasmi wa kutoa ushauri na huduma za tiba kwa umma haupo na vituo vya upimaji
Upimaji vvu ni vichache katika manispaa ya arusha
Hakuna mfumo rasmi wa utoaji habari na mawasiliano sahih kati ya serikali za mitaa na asasi za kijamii na jamii
Tiba ya ukimwi bado ni tatizo na kuna ongezeko kubwa la huduma ya tiba mbadla ya jadi na asili inayoendana na ongezeko ya dhana inayoendana na ongezeko ya dhana potofu ya kuamini tiba mbadala

Challenges

ChallengeHow it was overcome
Elimu na mfumo dunI katika jamii wa kutoa eliumu na hamasa katika jamii kuhusu kuouima VVUHaikuiwezekana kukabiliana na kutojua kusoma hhivyo haikuwa rahisi kuwafikia watu wengi.
Kuwepo kwa waganga wa tiba za asili ambao ni waongo wenye kupotosha ummaTumejaribu kutoa tahadhari kuhusu kuwepo kwa maelezo potofutoka kwa waghanga wa jadi.
Wanaume kukosa ari na moyo wa kuwa wazi kuhusu kuishi na VVU.kKuwatumia wanawake majasiri kuwajengea wenzi wao ujasiri wa kuwa wazi kuhusu vvu
Kutokuwepo na vituo vya kupima VVU katika Kata ya Unga Limited na sokoni 1Matangazo yalitolewa watu wakapime katika kituo cha Angaza katika Kata ya Levolosi
Zana na mbinu hafifu ya kuwafikia walemavu wa aina mbalimbaliHakua rahisi kukabiliana na changamoto hii
Watu wengi katika kata za sokoni 1 na ungalimited hawajapima vvuMtano ya hamasa ilitumika kuhamasisha jamii kwenda kupima vvu
Ugumu wa kufanya mikutano ya hadhara kwa mafanikioMkusanyiko ya watu katika maeneo yao katika maeneo yao ya kazi ilitumika kuhamasisha watu kupima VVU
Uwezo wa asasi ya ARV Esupati Group bado ni mdogo Kutumia uwezo mdogo uliokuwepo
Asasi ya ARV Esupati kutofahamika vizuri kwa jamiiAsasi ilitumia viongozi wa mtaa kujitangaza.

Linkages

StakeholderHow you worked with them
Manispaa ya arushaAfisa maendeleo ya jamii alishirikishwa hatua zote za mradi ambaye ndiye alitambulisha mradi kwa watendaji wa kata za Sokoni 1 na Unga Limited. Walihudhuria kikao cha tathmini.
Serikali za kataWatendaji wa kata walishirikishwa mbao ndio waliutambulisha mradi kwa watendaji na wenyeviti wa mitaa
Serikali za mitaaWenyevikiti wa mitaa walisaidia kutoa matangazo kwa wananchi na pia walitoa orodha ya walengwa wanaoishi katika maeneo yao kwa asasi ya ARV Esupat Group
Asasi ya waviu uitwayo Arusha Living Positively with HIV AIDS ALPHA+Viongozi wa Alpha walishiriki kwa kubadilishana uzoefu na timu ya esupatiGroup
Asasi ya waviu ya Tumaini Post Test TUPO)Viongozi wa tupo walishiriki kwa timu ya ARV Esupat Group

Future Plans

(No Response)

Beneficiaries Reached

    Direct BeneficiariesIndirect Beneficiaries
WidowsFemale7(No Response)
Male3(No Response)
Total10(No Response)
People living with HIV/AIDSFemale100(No Response)
Male45(No Response)
Total145(No Response)
ElderlyFemale15(No Response)
Male10(No Response)
Total25(No Response)
OrphansFemale(No Response)(No Response)
Male(No Response)(No Response)
Total(No Response)(No Response)
ChildrenFemale(No Response)(No Response)
Male(No Response)(No Response)
Total(No Response)(No Response)
DisabledFemale(No Response)(No Response)
Male(No Response)(No Response)
Total(No Response)(No Response)
YouthFemale(No Response)(No Response)
Male(No Response)(No Response)
Total(No Response)(No Response)
OtherFemale503720
Male501000
Total1004720
(No Response)

Events Attended

Type of EventWhenLessonsActions Taken
Mafunzo yaliyofanyika DodomaTarehe 8/10/2009Mwongozo wa utekelezaji na usimamizi wa mradiMwongozo ulitumika katika kusimamia mradi
Mafuzo yaliyofanyika DSMTarewhe 19/3/2010Mafunzo ya fund raisingElimu ilitumika katika kusimamia mradi
Mafunzo yaliofanyika DSM































































DSM
Tarehe 19/5/2011Mafunzo ya uthibiti wa fedha za mradiElimu ilitumika katika kusimamia mradi

Attachments

Ahakurikira »

Tanga igitekerezo

Izina ryawe:
Aho uherereye
Your email:
(optional)
Your email address will not be published.