Log in
Elimu na mazingira

Elimu na mazingira

Arusha, Tanzania

Parts of this page are in Swahili. Edit translations

1. Elimu ya utunzaji ya mazingira

2. kilimo hai

3. vyoo rahisi kwenye nyanda kame

Latest Updates
Elimu na mazingira updated its Projects page.
1.kutoa elimu kuhusu usafi wa mazingira na matumizi sahihi ya vyoo. – 2.kupanda miti kwenye vyanzo vya maji. – 3.uvunaji maji ya mvua. – 4.ujenzi wa vyoo rahisi kwenye nyanda kame kwa lengo la kurutubisha ardhi na kuweza kupanda miti kwenye maeneo hayo na ikamea vizuri mifano ya ya... Read more
May 7, 2013
Elimu na mazingira created a Home page.
1. Elimu ya utunzaji ya mazingira – 2. kilimo hai – 3. vyoo rahisi kwenye nyanda kame
May 7, 2013
Elimu na mazingira added a News update.
tunategemea kuanzisha vitalu vya miti vijiji ngarenanyukie na ngwandua na ilkurot mwaka2014. vitalu vya miti tutakavyo anzisha itakuwa na miti ambayo inafaa kuotesha kwenye vyanzo vya maji kwani vyanzo vingi vya maji vinaanzia mlima meru
May 7, 2013
Elimu na mazingira updated its History page.
shirika la mazingira elimu lilianza mwaka 1999 katika kijiji cha Ilikisongo wakati wa mradi wa utafiti toka ujerumani ulipoingia ulioutafiti kwenye mboga mboga kwaajili ya visumbufu vya mimea.Hatimaye kusajiliwa rasmi mwaka 2010.Hivyo shirika lilisajiliwa rasmi mwaka 2010 na linaendelea na kazi za jamii ya watanzania kwa... Read more
June 15, 2012
Elimu na mazingira updated its Projects page.
1.kutoa elimu kuhusu usafi wa mazingira na matumizi sahihi ya vyoo. – 2.kupanda miti kwenye vyanzo vya maji. – 3.uvunaji maji ya mvua. – 4.ujenzi wa vyoo rahisi kwenye nyanda kame kwa lengo la kurutubisha ardhi na kuweza kupanda miti kwenye maeneo hayo na ikamea vizuri mifano ya ya... Read more
June 15, 2012
Elimu na mazingira created a Team page.
1.MESHACK MICHAEL-CO-ORDINATOR – 2.HAPPYNESS MOITA-PROGRAM COO-ORDINATOR – 3.PETER RAPHAEL-TRESURER
June 7, 2012
Sectors
Location
Arusha, Tanzania
See nearby organizations