Envaya
Maeneo ya ukurasa huu ni kwa Kiingereza. Hariri tafsiri

large.jpg

EXECUTIVE DIRECTOR COMMUNITY PARTICIAPATION DEVELOPMENT ASSOCIATION CHATO Mr. SEIFU MAHUMBI

3 Desemba, 2012

Maoni (4)

RENATUS KADOGOSA (CHATO GEITA) alisema:
mnafanya kazi vizuri hongeleni sana
6 Februari, 2013
RENATUS KADOGOSA (CHATO GEITA) alisema:
nawatakia ufanisi mwema wa kazi .Hii ni kwajili ya kuokoa maisha ya watanzania kwa kutoa elimu kwa vijana.mimi kama peer educator vijana tunachangamoto nyingi sana hasa swala zima la ukosefu wa ajira pamoja na mitaji kwaajili ya kujiajili
8 Machi, 2013
RENATUS KADOGOSA (CHATO GEITA) alisema:

jukumu kubwa la jamii ni kufanya kazi kwa bidii ili kuondokana na janga la umasikini.pia sisis kama sehemu ya jamii tunao wajibu wa kutetea haki za raia kwa kutoa elimu kwa jamii husika.mfano watoto wa kike kukosa nafasi ya elimu .wanapaswa kupewa nafasi sawa na wtoto wa kiume.

8 Machi, 2013 (ilihaririwa 8 Machi, 2013)
(Afahamiki) alisema:
wanatakia mafanikio mema katika shughuli zote za kila siku
18 Juni, 2013

Ongeza maoni

Jina lako:
Mahali ulipo:
Email yako:
(sio lazima)
Anwani yako ya email haitachapishwa.