Fungua
Chama cha Mazingira na Maendeleo kwa Umma Tanzania

Chama cha Mazingira na Maendeleo kwa Umma Tanzania

Morogoro, Tanzania

Maeneo ya ukurasa huu ni kwa Kiingereza. Hariri tafsiri

large.jpg

Some of the families have started to enjoy real benefits of keeping a dairy cow not withstanding the fact that they are now using biogas as cooking energy.Here a beneficiary has calf.

large.jpg

In most communities along Eastern Arc Mountain women are the ones who collects fire-woods. This action has leads to the destruction of forests.

POVERTY  REDUCTION  USING ENVIROMENTAL CONSERVATION

    In trying to ensure that  enviromental conservation go hand in hand with poverty eraducation among  people living along Mt.Uluguru, a four days  workshop was carried on what best should be done.The result of which tree &fruit nursuries where established  to produce seedlings and altenative enviromental friendly income generating activities were also estblished.

Morden beehives as an income

generating activity.

 

 

 

socio-economic activities  should not be perfomed on mountain caps such as this mountain Cap found in Uluguru mountain which has been made to be a home.





 

CMMUT has come up with a FIVE YEAR DEVELOPMENT STRATEGIC PLAN (SP) which was developed after a number of discussions and meetings with beneficiaries and groups involved in Environmental Conservation in Mvomero and Morogoro districts. It took almost a month to come up with this PLAN which was developed through PARTICIPATORY meetings involving beneficiaries (see images), leaders and opinion leaders.

Environment being a key factor to development, CMMUT has through this Strategic plan sought of a way in which environment could be conserved whilst improving standards of living among inhabitants along the Uluguru Mountains (part of the famous Eastern Arc Mountain).This is only possible by creating alternative Income generating Activities, building capacities of individuals and establishment of trees and fruits nurseries to be planted in the open capes of mountains.

The total package for five years is expected to be $900,000. Annual plans will be drawn from the SP for implementation.

It is our expectation that implementation of this Plan will change positively the livelihood of the people along Mount Uluguru as well as conserving the environment for

Sustainable Development

.

CMMUT and the beneficiaries will accept any helping hand intended to fulfill the desired Goal.

 

 

FCS Narrative Report

Utangulizi

Chama cha Mazingira na Maendeleo kwa Umma Tanzania
CMMUT
Uboreshaji wa Utunzaji wa Misitu na Vyanzo vya Maji katika Milima ya Uluguru
FCS/MG/3/091
Tarehe: August-OctobaKipindi cha Robo mwaka: NNE
ELIBARIKI KWEKA

Maelezo ya Mradi

Sera
Kuhamasisha wananchi ili kuinua uelewa wao juu ya kuhifadhi misitu na vyanzo vya maji ni maswala ya Sera.Mradi huu ulilenga kutoa mafunzo kwa wananchi ili wawe na uelewa kwamba kuhifadhi misitu kutawaondoa katika umaskini uliotopea.
MkoaWilayaKataVijijiIdadi ya Wanufaika
MorogoroMvomeroMlali na DomaDoma ,Kihondo,Msongozi,Mkata,Melela,Mlali, Peko,Manza,Homboza,Kiperaza,5770
 Walengwa wa moja kwa mojaWalengwa wasio wa moja kwa moja
Wanawake472755
Wanaume733015
Jumla1205770

Shughuli na Matokeo ya Mradi

Jamii ya watu wa kata za Doma na Mlali sasa wanafahamu umuhimu wa kuhifadhi na utunzaji wa mazingira na vyanzo vya maji.`
Ufuatiliaji na tathmini ya matokeo ya mafunzo na midahalo iliyofanyika.
Waratibu wawili kutoka CMMUT wakifuatana na afisa misitu wa wilaya ya Mvomero walitembelea vijiji 9 vya Tarafa ya Mlali ili kufuatilia matokeo ya mafunzo yaliyokwisha fayika.
Shughuli zimefanyika kwa wakati wake
Tshs. 3,800,000/=

Mafanikio au Matunda ya Mradi

Ufuatiliaji umefanyika vizuri na kwa ushirikiano.Kwa kuwa tulikuwa tunataka kuona matokeo ya mafunzo,ni kweli kuna mafanikio ya kutosha sana,maana wanavijiji walianzisha vikundi vya mazingira na wakaanzisha vitalu vya miche ambayo kwa sasa ipo tayari kupandwa shambani.
Hakukuwa na mabadiliko
Mabadiliko yatakayotokana na upandaji wa miti tutaanza kuyaona miezi minne ijayo
N/A

Mambo Mliyojifunza

Maelezo
Katika kuutembelea viijiji,tumeona kuwa wananchi wako tayari kama wakielekezwa na kuwezeshwa katika utekalezaji wa shughuli yeyote ya maendeleo

Changamoto

ChangamotoNamna mlivyokabiliana nazo
Hakukuwa na changamota wakati huu wa ufuatiliaji

Mahusiano

WadauNamna mlivyoshirikiana nayo
Katika utekelezaji wa shghuli ya ufuatiliaji,mara zote tumeshirikiana na wataalam wa idara ya misitu ya wilaya ya Mvomero Tulitembea wote kama ilivyopangwa na ukweli Afisa misitu yeye ndiye alikuwa na jukumu la kuelezea mambo ya utaalam katika utunzaji wa vitalu vya miche na jinsi ya kuipanda miche hii mashambani

Mipango ya Baadae

Shughuli ZilizopangwaMwezi wa 1Mwezi wa 2Mwezi wa 3
Shughuli za utekelezaji wa mradi kama ilivokuwa imepangwa itakuwa imekamilika.Kilichobaki ni kuandika taarifa ya mwisho wa mradi husika.

Walengwa Waliofikiwa

    Walengwa wa moja kwa mojaWalengwa wasio wa moja kwa moja
Wajane na WaganeWanawake(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Wanaume(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Jumla(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Watu wanaoishi na VVU/UKIMWIWanawake(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Wanaume(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Jumla(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
WazeeWanawake(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Wanaume(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Jumla(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Watoto YatimaWanawake(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Wanaume(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Jumla(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
WatotoWanawake(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Wanaume(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Jumla(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Watu wenye UlemavuWanawake(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Wanaume(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Jumla(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
VijanaWanawake(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Wanaume(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Jumla(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Watu wengineWanawake(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Wanaume(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Jumla(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Kupata takwimu hizi sasa hivi siyo rahisi mpaka wakati wa sensa au tupange kuzipata takwimu hizi kwa kupitia mradi maalum

Matukio Mliyoyahudhuria

Aina ya TukioLiniMambo uliyojifunzaHatua zilizochukuliwa
Mafunzo ya Usimamizi wa RuzukuFebruari,2010Jinsi ya kujaza fomu ya maombi kwa usahihi na usimamizi wa mradi husika na fedha.Mkataba ulisainiwa na kupata ruzuku

Viambatanisho

FCS Narrative Report

Utangulizi

Chama cha Mazingira na Maendeleo kwa Umma Tanzania
cmmut
Uboreshaji wa Utunzaji wa Misitu na Vyanzo vya Maji Katika Milima ya Uluguru
FCS/MG/3//09/091
Tarehe: Juni,2011-Agosti 2011Kipindi cha Robo mwaka: Tatu
Elibariki Kweka, S.L.P. 4070,Morogoro,Email elibarikikweka@yahoo.com,cmmut2005@yahoo.com

Maelezo ya Mradi

Sera
Kuhamasisha wananchi ili kuinua uelewa wao juu ya umuhimu wa kuhifadhi misitu na maendeleo yanayotokana na shughuli za uhifadhi ni maswala ya Sera. Mradi huu umelenga kutoa mafunzo kwa wananchi ili wawe na uelewa kwambakuhifadhi mazingira kutawaondoa wao katika umaskini uliotopea.
MkoaWilayaKataVijijiIdadi ya Wanufaika
MorogoroMvomeroMlali na DomaDoma,Kihondo,Msongozi,Mkata Melela60
 Walengwa wa moja kwa mojaWalengwa wasio wa moja kwa moja
Wanawake252755
Wanaume353015
Jumla605770

Shughuli na Matokeo ya Mradi

1.Jamii ya watu wa Doma na mlali wanafahamu umuhimu wa uhifadhi wa Mazingira na Utunzaji wa vyanzo vya maji.

Jamii imehamasika juu ya uhifadhi wa mazingira na utunzaji wa mazingira pamoja na matumizi ya nishati mbadala
Kufanya Tathmini Shirikishi ikiwahusisha watu 20 wakiwemo baadhi ya washiriki,viongozi wa kata na serikali za vijiji husika,maafisa ugani na viongozi wa dini.
Watu 20 wakiwemo viongozi wa kata, vijiji, baadhi ya washiriki katika semina/warsha,maafisa ugani na viongozi wa dini walikaa kwa siku tatu(3) katika kijiji cha Doma wakifanya tathmini ya mafunzo na midahalo iliyofanyika.Walitaka waone na kupata taarifa juu ya mabadiliko yeyote yaliyoonekana kwa wananchi kutokana na warsha/Semina/midahalo iliyofanyika miezi michache iliyopita.
N/A
Kiasi cha Shs.2,647,100 zilitumika katika shughuli hii.

Mafanikio au Matunda ya Mradi

1 Jamii ya watu wa kata za Doma na Mlali wanafahamu umuhimu wa utunzaji wa mazingira na vyanzo vya maji na kwamba viongozi wanaelewa wajibu wao katika swala hili.
Tathmini ilifanyika vizuri na kugundua kwamba watu wengi wamehamasika hasa kutokana na viongozi kuwa na mwamko katika swala zima la uhifadhi wa mazingira ambapo wanawahimiza watu katika sehemu zao kupanda miti na kuzuia ukataji miti hovyo na uchomaji moto.
Viongozi wanaonekana kuwa waelewa na wafuatiliaji wa shughuli za maendeleo
Kule tu kukaa pamoja na kila kiongozi kutoa taarifa ya kazi yake katika tathmini kama hii kunalazimisha kwa namna moja au nyingine viongozi kuwa na uelewa wa kitu anachotakiwa kukieleza mbele ya wenzake.

Mambo Mliyojifunza

Maelezo
Katika tathmini sisi kama CMMUT tumeona kuwa ni muhimu maana kila kiongozi kazi yake inawekwa wazi; na hivyo kuwafanya wawe makini katika kusimamia utekelezaji wa shughuli tulizokubaliana.Kwa hiyo tathmini ni muhimu kufanyika kwa kila mradi uliotekelezwa

Changamoto

ChangamotoNamna mlivyokabiliana nazo
Kwa ujumla hukukuwa na changamoto

Mahusiano

WadauNamna mlivyoshirikiana nayo
Serikali viongozi wa dini na wanufaikaKwa kuwa hawa ni viongozi kwenye sehemu husika wao ndiyo wasimamizi wa utekelezaji wa shughuli zote za maendeleo.Hivyo ilibidi tukutane pamoja kuangalia mafanikio yaani Tathmini ya utekelezaji wa shughuli tulizojipangia

Mipango ya Baadae

Shughuli ZilizopangwaMwezi wa 1Mwezi wa 2Mwezi wa 3
Kwa ujumla Shughuli muhimu itakayofanyika ni ufuatiliaji wa yale tuliyojipangia katika warsha--MONITORINGXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXX

Walengwa Waliofikiwa

    Walengwa wa moja kwa mojaWalengwa wasio wa moja kwa moja
Wajane na WaganeWanawake(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Wanaume(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Jumla(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Watu wanaoishi na VVU/UKIMWIWanawake(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Wanaume(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Jumla(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
WazeeWanawake(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Wanaume(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Jumla(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Watoto YatimaWanawake(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Wanaume(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Jumla(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
WatotoWanawake(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Wanaume(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Jumla(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Watu wenye UlemavuWanawake(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Wanaume(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Jumla(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
VijanaWanawake(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Wanaume(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Jumla(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Watu wengineWanawake(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Wanaume(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Jumla(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Takwimu hizi kmf.walemavu yaani viziwi,wasioona,albino na walemavu wa viungo ni vigumu sana kuzipata maana hata ofisi ya kata haina takwimu hizi Tutazamie katika sensa ijayo au CMMUT itafute utaratibu wa kufanya utafiti na kupta takwimu sahihi na muhimu kama hizi.

Matukio Mliyoyahudhuria

Aina ya TukioLiniMambo uliyojifunzaHatua zilizochukuliwa
Mafunzo ya Usimamizi wa RuzukuFebruary,2010JInsi ya kujaza fomu ya maombio ya ruzuku kwa usahihi na usimamiozi wa miradi na fedhaKusaini mkataba wa kupata ruzuku

Viambatanisho

FCS Narrative Report

Utangulizi

Chama cha Mazingira na Maendeleo kwa Umma Tanzania
cmmut
Uboreshaji wa utunzaji wa misitu na vyanzo vya maji katika milima ya Uluguru
FCS/MG/3/09/091
Tarehe: December 20th,2010--February 28th 2011Kipindi cha Robo mwaka: one(1)
Elibariki Kweka,cel:0755 565888,email:elibarikikweka@yahoo.com

Maelezo ya Mradi

Sera
Environmental issues are complecated ones in which case their results can not be realised so immediately.The project seek to hold workshops, seminars, trainings and community meetings to ensure that inhabitants along mount Uluguru understands the policy that governs all issues of environmental conservation and how they could alleviate poverty through the policy.
MkoaWilayaKataVijijiIdadi ya Wanufaika
MorogoroMvomeroMlali and DomaMlali,Kipera,Peko,Homboza,Mongwe and Manza20,300
 Walengwa wa moja kwa mojaWalengwa wasio wa moja kwa moja
Wanawake209860
Wanaume4010440
Jumla6020300

Shughuli na Matokeo ya Mradi

1.A good number of inhabitants knows the importance of environmental conservation
2.The number of people using energy serving stoves has increased.
To provide training on environmental conservation to inhabitants of Mlali Ward and carry out a focus group evaluation to see the successfulness of the workshop
In the firstquarter,a total number of 60 people were trained on environmental conservation in Mlali ward at the Ward heardquarters(Mlali) in which case facilitation was done in a participatory manner.Issue of people performing human activities in catchment areas and along river banks were discussed in length and conclusions were reached that by June 2011 all activities in the respective areas should cease.During the session issues of people pretending to have permits of harvesting forest products in the respective villages were discussed and at the end the facilitator who happened to be the Authority in Forest Management in the district gave mandate to the villagers to not allowing anybody harvesting forest products in any of the villages unless they have a letter from him and him alone.It was also an advantage that a callender for tree planting was drawn by the participants and that they should mobilize other villagers in tree planting during the coming rainy season. Two weeks after we held an evaluation session comprising of a focus group of 20 people including leaders of villages and of the ward to see the effectiveness of the workshop.
The only difference that could be noted is that of delay of funds which resulted into the implementation of the project.
Training-----------------------------Tshs7,088,000
Evaluation by focus group-----Tshs.2,600,000
Administration-----------Tshs. 3,600,000

Mafanikio au Matunda ya Mradi

It is expected that upon proper implementation of the project there will be a great change in the restoration of Mount Uluguru Forest Cover,water catchments management and that proper Forest management will be adehered to.
1.Recovery of Mount Uluguru Forest cover will be realized
2.Seasonal rains will be realized in proper times
3.An increased agricultural output will be realized
4.Flow of water in rivers and streams will increase
1.Other Economic sectors like Water and Energy will be able to deliver services properly
2.There will be an increased production in all sectors that are interdependent with agriculture
The only reason for difference is that of delay in funds disbursement that caused a delay in the project implementation

Mambo Mliyojifunza

Maelezo
During the implementation and discussions it was learned that people were perfoming human activities in catchment areas and along the river banks without knowing the outcomes.This was adressed properly during the workshop.Moreover it was learned that due to the absence of by-laws governing environmental resources in the whole ward ,people would just come in these villages pretending to have permits from higher authorities and harvest forest product leaving the villagers woundering not knowing what to do.
Inhabitants,not knowing the outcome would perform human activities in the forests just in order to have their daily bread.In a long discussion, it was learned that having alternative projects which are environmental friendly would concerve the forests and hence the biodiversity as well as alleviating poverty.

Changamoto

ChangamotoNamna mlivyokabiliana nazo
This project was supposed to start a year ago.By the time of implementation there already had been changes in all village leadership which caused a number of logistics to change.Negotiations with new village leaders were to be effected.
Having known the above,people needed to be enpowered in starting such mentioned project.This was a challenge since FCS does not support such activities for example purchase of materials.Conclussions were that CMMUT help in the formation of groups in villages and seek appropriate assistance for them to start and run developmental activities which are environmental firendly as well as alleviating poverty looming among families such as making of modern beehives and the like. .

Mahusiano

WadauNamna mlivyoshirikiana nayo

The government
-The technical personnel(Forest) facilitated the whole workshop
-The Mvomero district government gave us a permission to run the workshop
-Inauguration of the workshop was done by the Divisional Officer
CHAVITA -Morogoro branchKnowing that in the society there are such dissbled people, we invited CHAVITA leaders in the region to bring a challenge to the community so that they recognize such groups.

Mipango ya Baadae

Shughuli ZilizopangwaMwezi wa 1Mwezi wa 2Mwezi wa 3
To run a workshop on the importance of tree planting and the use of energy serving stoves for Doma Wardxx

Walengwa Waliofikiwa

    Walengwa wa moja kwa mojaWalengwa wasio wa moja kwa moja
Wajane na WaganeWanawake(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Wanaume(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Jumla(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Watu wanaoishi na VVU/UKIMWIWanawake(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Wanaume(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Jumla(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
WazeeWanawake(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Wanaume(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Jumla(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Watoto YatimaWanawake(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Wanaume(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Jumla(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
WatotoWanawake(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Wanaume(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Jumla(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Watu wenye UlemavuWanawake(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Wanaume(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Jumla(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
VijanaWanawake(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Wanaume(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Jumla(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Watu wengineWanawake(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
WanaumeNB:It is so difficult to get such figures at this time.Infact this will be another type of survey for example when you talk of Disabled people you are adressing albino,cripled,blind,deaf and dumb.We promise to provide these data in the second reporting quarter. (Hakuna jibu)
Jumla(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
(Hakuna jibu)

Matukio Mliyoyahudhuria

Aina ya TukioLiniMambo uliyojifunzaHatua zilizochukuliwa
Manage your Grants TrainingFebruary,2010-Financial Management
-Program running and Supervision
-How to Monitor program development
-We are keeping all financial reports and have books of Accounts

Viambatanisho

CMMUT yafungua tovuti yake