Log in
chama cha wazazi wa watoto wenye ulemavu wa mtindio wa ubongo, akili  na viungo Tanzania

chama cha wazazi wa watoto wenye ulemavu wa mtindio wa ubongo, akili na viungo Tanzania

msasani-kinondoni, Tanzania

Parts of this page are in Swahili. Edit translations

MKUTANO MKUU WA MWAKA (AGM)JUNI 21,2014.

Mwenyekiti anawataarifu wanachama,wajumbe,wadau na jamii yote kuwa juni 21 2014,chawaumavita wanatarajia kufanya mkutano mkuu wa mwaka,katika viwanja vya mazoezi tiba manzese ukombozi,saa 3 asubuhi.

agenda za mkutano mkuu ni

1.marekebisho ya katiba,

2.ripoti ya kamati tendaji 2013/2014,

3.mapato na matumizi.

wajumbe wote wana karibishwa katika kushiriki zoezi hili muhimu la kikatiba

June 9, 2014
« Previous Next »

Add a comment

Your name:
Your location:
Your email:
(optional)
Your email address will not be published.