CHACODE ni asasi ya kuwajengea uwezo jamii fursa ya kujitambua uwezo katika masuala ya kiuchumi,Kijamii na Kiutamaduni kwa kutumia rasilimali zilizopo katika misingi ya utawala bora.
Pia kuhakikisha jamii inapata taarifa za maendeleo yake kwa uwazi ili kuchochea maendeleo na uwajibikaji katika jamii,kila mmoja akitimiza wajibu wake maendeleo.
Asasi inakusudia kuwa kiungo kizuri kati ya wadau wa maendeleo na wananchi
Mabadiliko Mapya
Chalinze Community Development Centre imehariri ukurasa wa Timu.
Viongozi wa Asasi ya CHACODE ni kama ifuatavyo; – Thadei Hafigwa-Mkurugenzi Mtendaji
Severin Blasio-Kaimu Mkurugenzi
Ahmed Mkila-Katibu
Gelasius Lisakafu-Mhasibu
Alphoncia Mbuya-Mwekahazina
John Kidasi-Mjumbe
Jackline Autho-Mjumbe
Yustina... Soma zaidi
28 Julai, 2014
Chalinze Community Development Centre imehariri ukurasa wa Timu.
Viongozi wa Asasi ya CHACODE ni kama ifuatavyo; – Thadei Hafigwa-Mkurugenzi Mtendaji
Severin Blasio-Kaimu Mkurugenzi
Ahmed Mkila-Katibu
Gelasius Lisakafu-Mhasibu
Alphoncia Mbuya-Mwekahazina
John Kidasi-Mjumbe
Jackline Autho-Mjumbe
Yustina... Soma zaidi
25 Februari, 2014
Chalinze Community Development Centre imehariri ukurasa wa Timu.
Viongozi wa Asasi ya CHACODE ni kama ifuatavyo; – Thadei Hafigwa-Mkurugenzi Mtendaji
Severin Blasio-Kaimu Mkurugenzi
Ahmed Mkila-Katibu
Gelasius Lisakafu-Mhasibu
Alphoncia Mbuya-Mwekahazina
John Kidasi-Mjumbe
Jackline Autho-Mjumbe
Yustina... Soma zaidi
3 Juni, 2013
Chalinze Community Development Centre imehariri ukurasa wa Timu.
Viongozi wa Asasi ya CHACODE ni kama ifuatavyo; – Thadei Hafigwa-Mkurugenzi Mtendaji
Severin Blasio-Kaimu Mkurugenzi
Ahmed Mkila-Katibu
Gelasius Lisakafu-Mhasibu
Alphoncia Mbuya-Mwekahazina
John Kidasi-Mjumbe
Jackline Autho-Mjumbe
Yustina... Soma zaidi
26 Mei, 2013
Chalinze Community Development Centre imehariri ukurasa wa Historia.
Asasi ya CHACODE ni imeanzishwa na watanzania,wazalendo kwa lengo la kuunganisha nguvu kwa pamoja katika kuhakikisha ya kuwa jamii ya watanzania wanapata maendeleo.Asasi hii imeanza mchakato wake wa kimuundo mwaka 2007 baada ya wabaini changamoto za kimaendeleo zinazoikabili jamii hususan vijana kukosa ajira,wazee,wajane,watoto yatima na tatizo... Soma zaidi
26 Mei, 2013
Chalinze Community Development Centre imeumba ukurasa wa Mkuu.
CHACODE ni asasi ya kuwajengea uwezo jamii fursa ya kujitambua uwezo katika masuala ya kiuchumi,Kijamii na Kiutamaduni kwa kutumia rasilimali zilizopo katika misingi ya utawala bora. – Pia kuhakikisha jamii inapata taarifa za maendeleo yake kwa uwazi ili kuchochea maendeleo na uwajibikaji katika jamii,kila mmoja akitimiza wajibu... Soma zaidi
6 Oktoba, 2012
Sekta
Sehemu
Chalinze, Pwani, Tanzania
Tazama mashirika ambayo yapo karibu
Tazama mashirika ambayo yapo karibu