kusaidia watoto yatima na waishi katika mazingira magumu
kusaidia wakina mama wajane kw akuwajengea uwezo na kutetea haki zao kama wajane
kutoa elimu kwa jamii juu ya kijikinga na magonjwa yaukimwi,malaria na madawa ya kulevya na maswala yote yahusuyo afya
Mabadiliko Mapya
CHAMA CHA MAENDELEO UPENDO imeumba ukurasa wa Jitolee.
1.tunahitaji waalimu wa kujitolea kufundisha katika elimu ya ufundi stadi kwa vijana walio chini ya miaka kumi na nane(18) – 2.tunahitaji waalimu wa kufundisha kozi ya nursing kwa ngazi ya diploma – usafiri wa kwenda na kurudi kazini kila siku utawepo. na mahala pa kuishi kwa wale waliotoka mbali.... Soma zaidi
1 Juni, 2012
Sekta
Sehemu
KIGOMA VIJIJINI, Kigoma, Tanzania
Tazama mashirika ambayo yapo karibu
Tazama mashirika ambayo yapo karibu