KENDELEZA NA KUSIMAMIA HARAKATI ZA DINI YA KIISLAM NYANJA ZOTE WILAYANI GAIRO
Amakuru agezweho

BAKWATA WILAYA YA GAIRO yashyizeho Amakuru agezweho.
KATIBU wa BAKWATA Wilaya Gairo mwenye Sweta akiwa na Eng. Nasoro Kindamba wakiwa katika harakati za kupima jengo la Shule katika mradi wa ujenzi wa Shule Kimashale Wilayani hapo. Aidha Katibu wa Wilaya anatoa wito kwa Wadau na Waislam wote kushiriki katika kuchangia ujenzi wa Shule Hiyo ya umma wa Kiislam. Ujenzi wa Shule ni... Soma ibindi
11 Nyakanga, 2021
BAKWATA WILAYA YA GAIRO yashyizeho Amakuru agezweho.
UCHAGUZI MKUU BAKWATA , MRUMA ATEMA CHECHE – ... ... Soma ibindi
11 Mutarama, 2020

BAKWATA WILAYA YA GAIRO yashyizeho Amakuru agezweho.
ISLAMIC FUNDATION WAKABIDHI MSIKITI BAKWATA – Mwenyekiti wa tasisi ya The Islamic Foundation amekabidhi msikiti wa vibandani Morogoro Mjini. Makabidhiano hayo yalifanyika baada ya kukamilika kwa ujenzi huo na kufanyika ufunguzi rasmi wa msikiti huo uliopewa jina la Masjid Madina. akiongea mara baada ya ufunguzi... Soma ibindi
10 Mutarama, 2020

BAKWATA WILAYA YA GAIRO yashyizeho Amakuru agezweho.
MAADHIMISHO YA MAULID YA MTUME S.A.W 1349/2017 MKOA WA MOROGORO – Baraza kuu la Waislam Tanzania BAKWATA Wilaya ya Gairo tunawakaribisha katika maadhimisho ya mazazi ya Mtume Muhamad S.A.W yatakayo fanyika kimkoa katika Wilaya ya Gairo Kata ya Chakwale. Akiongea na waumini wa msikiti mkuu wa wilaya Katibu Wa BAKWATA... Soma ibindi
28 Ugushyingo, 2017

BAKWATA WILAYA YA GAIRO yashyizeho Amakuru agezweho.
TAARIFA KWA WAISLAM WOTE – BAKWATA GAIRO, Tunapenda kwataarifu waislam wote ndani na nje ya nchi kuwa tumeanzisha ujenzi wa shule ya kiislam katika eneo la Chakwale, ujenzi unategemea nguvu za waislam mbalimbali, wafadhiri, kutoka ndani na nje ya nchi ili kufanikisha ujenzi huo. wewe kama... Soma ibindi
27 Ugushyingo, 2017
BAKWATA WILAYA YA GAIRO yashyizeho Amakuru agezweho.
Sheikh wa Wilaya Gairo akiwa na Mh Muft wa Tanzania alipo tembelea Wilayani Gairo nakuwaombea duwa wakazi wa Gairo Mh. Muft aliwaasa viongozi wa wilaya Gairo kuendana na kasi ya maendeleo iliyopo sasa na kuwaeleza kuwa wajitahidi kutafuta maeneo popote na kufanya uwekezaji hasa katika maeneo ya elimu na uchumi kwa ujimla... Soma ibindi
30 Ugushyingo, 2016
Izindi mbuga
Ibyiciro
Aho uherereye
GAIRO, Morogoro, Tanzaniya
Reba ibigo mwegeranye
Reba ibigo mwegeranye