Envaya
Uru rupapuro ruragaragazwa mu rurimi rw'umwimerere Igiswayire. Edit translations

Malengo ya ZAPANET ni kama yafuatayo:-

  1. Kutoa ushauri wa kisheria kwa jamii yote ya Zanzibar
  2. Kutoa Elimu ya Kisheria kwa jamii
  3. Kutoa mafunzo ya haki za kibinadamu
  4. Kutetea upatikanaji wa haki kwa wazanzibari wote bila ya kuwepo ubaguzi wa aina yeyote kwa jamii
  5. kushirikiana na Jumuiya nyengine ambazo zina malengo yanayofanana kitaifa, kikanda, na kimataifa
  6. Kupinga Unyayasaji wa aina zote dhidi ya watoto, wanawake na makundi yenye mahitaji maalum.

 

Amakuru agezweho
MTANDAO WA WASAIDIZI WA SHERIA ZANZIBAR yakoze Amateka paje.
CHIMBUKO LA ZAPANET – iMEANZISHWA NA WASAIDIZI WA SHERIA ( PARALEGALS) WENYEWE AMBAO KWA MIYAKA ZAIDI YA MITATU WALIKUWA WAKIFANYA KAZI BEGA KWA BEGA NA KITUO CHA HUDUMA ZA SHERIA ZANZIBAR ( zANZIBAR LEGAL SERVICES CENTER)- ZLSC
25 Gicurasi, 2012
MTANDAO WA WASAIDIZI WA SHERIA ZANZIBAR yasanze Envaya.
25 Gicurasi, 2012
Ibyiciro
Aho uherereye
ZANZIBAR, Zanzibar y'uburengerazuba, Tanzaniya
Reba ibigo mwegeranye