Envaya
Parts of this page are in Swahili. Edit translations

Malengo ya ZAPANET ni kama yafuatayo:-

  1. Kutoa ushauri wa kisheria kwa jamii yote ya Zanzibar
  2. Kutoa Elimu ya Kisheria kwa jamii
  3. Kutoa mafunzo ya haki za kibinadamu
  4. Kutetea upatikanaji wa haki kwa wazanzibari wote bila ya kuwepo ubaguzi wa aina yeyote kwa jamii
  5. kushirikiana na Jumuiya nyengine ambazo zina malengo yanayofanana kitaifa, kikanda, na kimataifa
  6. Kupinga Unyayasaji wa aina zote dhidi ya watoto, wanawake na makundi yenye mahitaji maalum.

 

Latest Updates
MTANDAO WA WASAIDIZI WA SHERIA ZANZIBAR created a History page.
CHIMBUKO LA ZAPANET – iMEANZISHWA NA WASAIDIZI WA SHERIA ( PARALEGALS) WENYEWE AMBAO KWA MIYAKA ZAIDI YA MITATU WALIKUWA WAKIFANYA KAZI BEGA KWA BEGA NA KITUO CHA HUDUMA ZA SHERIA ZANZIBAR ( zANZIBAR LEGAL SERVICES CENTER)- ZLSC
May 25, 2012
MTANDAO WA WASAIDIZI WA SHERIA ZANZIBAR joined Envaya.
May 25, 2012
Sectors
Location
ZANZIBAR, Zanzibar West, Tanzania
See nearby organizations