Envaya
Maeneo ya ukurasa huu ni kwa Kiingereza. Hariri tafsiri
Wakihabima imebahatika kuwa moja ya asasi zilizotoa waangalizi wa uchaguzi wa ubunge jimbo la Masasi uliokuwa umeahirishwa wakati wa uchaguzi mkuu Oktoba 20 kutokana na kufariki kwa mmoja ya wagombea Dr. Emmanuel Makaidi wa NLD. Kazi hii waliifanya kwa mwamvuli wa TACCEO chini ya kituo cha Sheria na haki za Binadamu LHRC. Walioshiriki walikuwa; Noel Mwembere, Tanmoza Fungafunga, Donald Simonje, Mwanaafa W. Malenga, Irene Liyumba, Frank Liweta, Monica Mzula, Damas Mlaponi, Mwinda Mkwamba, Maurice Ng'hitu, Edna Ngasiwa, Sekioni Joseph, Yakobo Yohana na Anjelina Saidia. Hawa waliungana na jopo laTACCEO/LHRC lililoongozwa na Dr. Geoffrey Chambua. Uchaguzi huo ulifanyika Disemba 20/2015 na mgombea wa CCM alipata ushindi.
25 Desemba, 2015
« Iliyotangulia Ifuatayo »

Ongeza maoni

Jina lako:
Mahali ulipo:
Email yako:
(sio lazima)
Anwani yako ya email haitachapishwa.