Envaya
Wakihabima imefanikiwa kuendesha kliniki ya msaada wa kisheria wilayani Masasi ambapo wanasheria 4 toka LHRC walikuja na kutoa ushauri na usaidizi wa kufuatilia mashauri yaliyokosa mwelekeo pia mafunzo yanayohusu masuala ya ndoa, mirathi, ardhi, haki za mtoto na sheria ya vijiji ya mwaka 1999. Kliniki hiyo ilifanyika kuanzia tarehe 9 hadi 13 Novemba2015 kwenye kata za Masasi mjini, Nanganga, Nanjota, Mbonde na Chiwale.
November 26, 2015
« Previous Next »

Add a comment

Your name:
Your location:
Your email:
(optional)
Your email address will not be published.