5}Vyanzo vya ubora wa maji kwenu yamepata athari gani kutokana na mafuriko?
Athari ni kubwa zinazotokana na mafuriko kwani maji tunayotumia ni ya visima hivyo kutokana na kubomoka kwa vyoo maji tunayotumai siyo salama kwa matumizi ya binadamu .vilevle tuko mabondeni hivyo maji machafu yanayotoka meaneo yaliyo kwenye miinuko na majalala ya kiholela uchanganyikana na maji tunayotumia,Hivyo hatuna jinsi ukizingatia maji ni uhai kwa binadamu tunalazimika kuyatumia wakati tunajua yana mdhara makubwa kwetu kumekuwepo pia ugumu wa upatikanaji wa maji kwani visima vingi vimegeuka kuwa mashimo ya takataka
6}Kama una kazi unachukua muda gani kutoka nyumnani mpaka ofisini?
Ninatumai muda mfupi kufika kazini kwani nafanya biashara ya mama lishe iliyopo karibu na maeneo haya,ni kama dakika 10 tu.
6]Kama una kazi inakuchukua muda gani kufika ofisini
Comments (3)