Fungua
Tanzania Women of Action(Tawa)

Tanzania Women of Action(Tawa)

Dar es salaam, Tanzania

Tanzania Women of action (Tawa) tumefanikiwa kupata uwakilishi katika kongamano la wanawake na katiba liloandaliwa na Women Fund Tanzania(WFT) .Kongamano hili limefanyika kuanzia tarehe 22 mpaka 24  october mwaka huu na kuhudhuriawa na washiriki wanawake kutoka mikoa 19 ya Tanzania.Kwa ushiriki huo tumeweza kuweka mikakati ya pamoja ya masuala muhimu yanayo mgusa mwanamke ili yaingizwe  katika katiba mpya.

25 Oktoba, 2012
« Iliyotangulia Ifuatayo »

Maoni (1)

Tanzania Women of Action(Tawa) (Hanansifu Kinondoni) alisema:
Mwanamke ni chachu ya maendeleo na mabadiliko ya nchi ,hivyo ni muhimu ushiriki na mchango wake katika masuala mazima ya kitaifa ni lazima ashirikishwe kikamilifu.
25 Oktoba, 2012

Ongeza maoni

Jina lako:
Mahali ulipo:
Email yako:
(sio lazima)
Anwani yako ya email haitachapishwa.