Uru rupapuro ruragaragazwa mu rurimi rw'umwimerere Igiswayire. Edit translations
DHIMA YETU ni Kuwa na jamii yenye usawa na isiyobagua katika nyanja zote ,kiuchumi,kisiasa na kijamii na inayojumuisha makundi yote(kila raia )wa Tanzania.
DIRA YETU ni
Kutengeneza mikakati itakayoibua na kutetea haki za binadamu,wanawake na watoto kwa kuwajengea uwezo uhamasishaji mawasiliano , na kuwa na mahusiano na serikali na vyombo visivyo vya ki serikali kitaifa na kimataifa
7 Gashyantare, 2012