Envaya

Hitimisho. Tunapenda kutoa shukurani zetu za dhati kabisa toka ndani ya mioyo yetu kama watumishi wa AICT/CCT pamoja tuwalee kwa meneja na uongozi mzima wa shirika la hifadhi la jamii la NSSF. Sintakuwa mwema wa fadhila na shukurani kamasinto wataja kwa majina maafisa toka hifadhi ya jamii mkoani tabora shirika la NSSF kwa kutuunga mkono katika harakati zetu za kuikomboa jamii kupitia elimu, malazi na kazi, afya, pamoja na ujasilimali msaada wa kisheria pia msaada wa kisaikolojia kwa jamii. Mr ........................ kwa ushirikiano mkubwa waliouonesha katika zoezi hili zima la kutembelea na kuvipa elimu vikundi vyetu vya WORTH kwa lengo zima la kuikomboa jamii katika dimbwi la umasikini uriokithiri ndani ya jamii. Kama mshauri wa mradi wa huu wa pamoja tuwalee nawapongeza staffs wote yaani project coordinator, Program officers pamoja na mhasibu kwa ushirikiano wao uriotukuka katika zoezi zima la kuwapa elimu wanajamii wetu kupitia mpango mzima wa WORTH JINA LA BAWA LIBALIKIWE

3 Septemba, 2012
« Iliyotangulia Ifuatayo »

Ongeza maoni

Jina lako:
Mahali ulipo:
Email yako:
(sio lazima)
Anwani yako ya email haitachapishwa.