Envaya

idadi ya mahudhurio haikua nzuri

maafisa watendaji waendelee kuwashawishi wananchi wao wahudhurie mikutano ili waweze kuchangia mawazo yao

watu hawapendelei mikutano kwa sababu wanaona inawapotezea muda wao wa kufanya shughuli zao nyingine za kuwaletea kipato

elimu zaidi itolewe kwa wananchi ili watambue umuhimu wa kuhudhuria mikutano

mahudhurio mabaya

waTU WANAJALI SHUGHULIZAO BINAFSI ZA KUWAINFIZIA KIPATO NA SI KUPOTEZA MUDA WAO KUHUDHURIA KWENYE MIKUTANO

ELIMU IENDELEE KUTOLEWA ZAIDI KWA WANANCHI ILI WATAMBUE HAKI YAO YA MSINGI YA KUTOA MAONI NA USHAURI WAO KUWA NINI KIFANYIKE KUTOKANA NA WWKMH

 

18 Julai, 2012
« Iliyotangulia Ifuatayo »

Ongeza maoni

Jina lako:
Mahali ulipo:
Email yako:
(sio lazima)
Anwani yako ya email haitachapishwa.