Fungua
Save Lives Organization Trust Fund

Save Lives Organization Trust Fund

Manispaa Morogoro, Tanzania

Shirika liko katika hatua za mwisho za kuanzisha huduma ya ushauri nasaha na upimaji wa Hiyari wa Virusi vya UKIMWI kwa wakazi wa Mkoa wa Morogoro kuanzia Jumatatu ya Tar 7/06/2010.....

Wote mnakaribishwa!!!!!!!!!
3 Juni, 2010
Ifuatayo »

Ongeza maoni

Jina lako:
Mahali ulipo:
Email yako:
(sio lazima)
Anwani yako ya email haitachapishwa.