Log in
ORGANIZATION FOR LAND AND AGRICULTURE IMPROVEMENT

ORGANIZATION FOR LAND AND AGRICULTURE IMPROVEMENT

Tandahimba Sokoine, Tanzania

Parts of this page are in Swahili. Edit translations
Wadau, ni muhimu kuelezana wazi kuwa, Asasi za kiraia (NGOs) zilizo nyingi hasa ndogo ndogo vijijini (Plot farm) hazina mihimili maalum ya kujipatia mapato ili kuziwezesha kuujenga uchumi imara na kumudu kutekeleza shughuli mbalimbali za kiasasi ili kuyafikia malengo yake. Mitaji mikubwa ya Asasi hizi ni michango na ada za wanachama wa Asasi hizo. Kwa namna yeyote, ni wazi kuwa Asasi hizi zitakuwa tegemezi hasa katika ruzuku ili ziwe na uwezo japo posho tu za watumishi wake. Bila ruzuku ndio hizooo... zinakufa.
April 26, 2018
« Previous Next »

Comments (1)

dr joseph musagasa (mwanza tz) said:
ni kweli kabisa,hivyo tufanyeje? Ni vema serikali kuliona hilo na wabunge wetu wajitahidi kutetea hilo kwani matokeo ya hizi asasi yanabakia kwa wananchi
May 1, 2018

Add a comment

Your name:
Your location:
Your email:
(optional)
Your email address will not be published.