Log in
ORGANIZATION FOR LAND AND AGRICULTURE IMPROVEMENT

ORGANIZATION FOR LAND AND AGRICULTURE IMPROVEMENT

Tandahimba Sokoine, Tanzania

Parts of this page are in Swahili. Edit translations

large.jpg

Washiki wa washar/mafunzo ya sheria ya Ardhi Na. 5 vijiji ya mwaka 1999 na kanuni zake za mwaka 2002, yaliyoandaliwa na OLAI kwa ufadhili wa The Foundation for Civil Society. Mafunzo yaliyohusha kata 5 za Mkwiti, Ngunja, Litehu, Luagala na Nambahu katika wilaya ya Tandahimba Mkoa wa Mtwara-Tanzania

July 28, 2014
« Previous Next »

Comments (3)

HASSAN LUHEKO MNAUTE, mwenyekiti wa Organization for Land and Agriculture Improvement (OLAI) (CHAUME, wilaya ya Tandahimba - Mtwara, Tanzania.a) said:
Kuhusu masuala ya utendaji wa watumishi wa Asasi za kiraia, kungekuwa na utaratibu wa kupata mafunzo ya kuwawezesha ili kupata uelewa wa kutosha na kuleta ufanisi wa shughuli zao za kila siku. Kuwe na ushirikiano kwa wadau na mitandao ya kitaifa na kimaifa.
August 4, 2014
HASSAN LUHEKO MNAUTE, mwenyekiti wa Organization for Land and Agriculture Improvement (OLAI) (CHAUME, wilaya ya Tandahimba - Mtwara, Tanzania.a) said:
Tunashukuru sana kwa ushauri uliotolewa na ENVAYA kuwa, Asasi za kiraia/mashirika yasiyokuwa ya kiserikali, kuwepo na uhusiano na mitandao ya kitaifa na kimataifa, kueleza shirika linafanya au linajishughulisha na nini kwa jamii. Hii inasaidia shirika kujijengea uaminifu kwa mashirika wafadhili, na sio kujishughulisha na kuomba ruzuku toka kwa wafadhili. Yapo mashirika kama TACONGO, TANGO nk, ninaonelea kungekuwa na mwongozo wa kutuwekea hadharani mawasiliano ya mashirika hayo, ili tuweze kujua namna ya kuwa na uhusiano nayo, kama Anuani zao, Email, namba zao za simu za mezani na mkononi. Envaya mngetusaidia hilo ili tujumuike wote pamoja.
August 4, 2014
HASSAN LUHEKO MNAUTE (Kijiji cha Sokoine, Kata ya Chaume, wilaya ya Tandahimba ~ Mtwara, Tanzania) said:
Mfumo wa utekelezaji wa miradi mbalimbali inayotekezwa na mashirhika, huwa haileti mabadiliko kwa jamii kwa vile, mazingira ya ufuatiliaji na tathmini huwa hayana umakini kwa kukosa uelewa wa kutosha. Wito wangu kwa mashirika wafadhili, pamoja na mambo mengine iwe wanakuwa na utaratibu wa kuandaa mafunzo kwa mashirika madogo ili kuwaongezea ujuzi kwa ajili ya kuwawezesha kutoa taarifa kamili na sahihi za shughuli wanazozifanya kwa jamii. Tujue jamii pamoja na ugumu uliopo, wanahitaji mabadiliko katika maendeleo na uchumi. Mobile: +255788 715 532/+255768 098 726. Wavuti: envaya.org/olai
August 16, 2014

Add a comment

Your name:
Your location:
Your email:
(optional)
Your email address will not be published.