Log in
Jumuiya Endelevu Bagamoyo

Jumuiya Endelevu Bagamoyo

Bagamoyo, Tanzania

Parts of this page are in Swahili. Edit translations

FCS Narrative Report

Introduction

JUMUIYA ENDELEVU BAGAMOYO
JEBA
kuwajengea uwezo viongozi wa vikundi vya kijamii kwa kutoa elimu ya utawala bora juu ya uwazi na uwajibikaji
FCS/MG/2/09/019
Dates: 31 DESEMBAQuarter(s): 4
SWEETBERT MUSHOBOZI,
AFISA MIPANGO NA FEDHA,
JEBA SOCIETY,
S.L.P 85,
BAGAMOYO.

Project Description

Governance and Accountability
Kuwajengea/tunawajengea uwezo viongozi wa vikundi vya kijamii, wakulima na wafugaji viongozi wa vikundi vya kijamii, viongozi wa vijiji, Kata na tarafa, juu ya uwazi na uwajibikaji kwa dhana nzima ya utawala bora na usimamizi wa fedha na rasilimali za umma.

RegionDistrictWardVillagesTotal Beneficiaries
PwaniBagamoyoDunda, Zinga, Yombo, Vigwaza, Msata, Lugoba, Miono, Mkange na Kibindu.Kaole, magomeni, yombo, mlingotini, makole, msata, kikaro, masimbani, miono, lugoba, kibindu, kwaikonje na kwamduma.1,080
 Direct BeneficiariesIndirect Beneficiaries
Female74016
Male34008
Total108024

Project Outputs and Activities

Wanajamii wa kata za Dunda, Yombo, Zinga, Lugoba, Miono, Msata, Vigwaza, Mkange na Kibindu wamepata uelewa juu ya utawala bora ifikapo 2011.
Kuendesha semina kwa viongozi wa vikundi na watendaji wa vijiji/ kata na wah. madiwani katika kata ya Msata na Lugoba. Tarehe 24-27/08/2010 kata ya Msata na tarehe 30/08-02/09/2010 katika kata ya Lugoba. Jumla ya washiriki wote ni 120.
1. Viongozi wa vikundi vya kijamii na wadau mabalimbali wametambua umuhimu wa kuhudhulia vikao na mikutano inayoitishwa na kijiji. Vile vile na katika vikundi vyao.
2. Wananchi wa kijiji cha Kidogozero wameuvunja uongozi uliokuwepo madarakani na kuchagua viongozi wapya watakaowajibika na kuwaletea wananchi maendeleo .
HAKUNA
Ukumbi Tsh. 160,000/=
Stationary Tsh. 467, 500/=
Chai Tsh. 960,000/=
Chakula Tsh. 1, 440, 000/=
Posho ya wawezeshaji ni Tsh. 2, 400, 000/=
Kudurufu vitini vya mafunzo na kubainding taarifa Tsh. 210, 000/=
Jumla yote ni Tsh. 5, 637, 500/=

Project Outcomes and Impact

Viongozi wa vikundi vya kijamii , kata na vijiji wametambua wajibu wao.
Mpango wa utekelezaji na ufuatiliaji unafanyika ili kuona yale waliokubaliana katika mpango kazi yanafanyika.
Viongozi wa vikundi vya kijamii na wadau mbalimbali wametambua umuhimu wa kuhudhulia vikao na mikutano inayoitishwa na kijiji. Vile vile wamepata fursa ya kuhoji mapato na matumizi katika ofisi za vijiji.
Uelewa umeongezeka baada ya kupata mafunzo ya uwazi na uwajibikaji kila kiongozi kwa nafasi yake.

Lessons Learned

Explanation
Jamii ya watu hasa wanaoishi mbali na makao makuu ya kata taarifa nyingi hawazipati kutokana na viongozi wa vijiji kushindwa kuzifuatilia kwa madai kwamba hawana vitendea kazi kama vile usafiri.
Vikundi vingi vya kijamii hasa vilivyoanzishwa na CARE kwa lengo la kujiwekea pesa (VICOBA) viongozi wa vikundi hivyo baadhi yao hawaelewi wajibu wao katika suala zima la utunzaji kumbukumbu za fedha na nyaraka nyingine muhimu.
Wananchi hawana moyo wa kujitolea na kujituma kwa ajili ya maendeleo yao. Jambo wanalipokea lakini mwisho wa siku wanaliacha palepale bila kuanza kulitekeleza. mfano: Mh. Diwani wa Yombo alitoa falsafa ya U-3 maana yake ni Utambizi, Uchambuzi na Utekelezaji.
Wananchi wanamuitikio mkubwa sana kwenye mambo semina na warsha lakini hawana muitikio katika shughuli za maendeleo ya vijiji. Mfano: kuna jengo lilianzishwa mwaka 2007 kwa msaada wa SIDO ili wananchi wasindike unga wa muhogo lakini hadi hivi leo jengo hilo limebakia palepale ambapo msaada wa SIDO ulipoishia.

Challenges

ChallengeHow it was overcome
Wanawarsha kutoridhika na utaratibu wa kuandaliwa chai na chakula, bila kupewa posho ya kwenda nayo nyumani.Ilibidi mratibu wa mradi na na viongozi wengine wa Jeba tuwafahamishe madhumuni ya kuwaandalia chai na chakula, badala ya kuwapa posho ya fedha mkononi.
Aliwaeleza kuwa hayo yalikuwa makubaliano yetu tangu mwanzo wa kuandaa na kubuni mradi. Lakini pia mkataba tuliosaini na wafadhili wetu The foundation unasema washiriki watapewa posho ya chai na chakula na sio kupewa pesa mkononi.
Uwajibikaji mdogo kwa watendaji wa Kata na Vijiji, kutekeleza na kushughulikia maazimio yaliyopitishwa wakati wa kuendesha mafunzo ya uwazi na uwajibikaji kwa zana nzima ya utawala bora.Baadhi ya Vijiji na Kata hawajaweka masanduku ya maoni kwenye maeneo ya ofisi zao. Jeba imewasilisha taarifa za maendeleo ya mradi kwenye ofisi ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya na kwa ofisi ya mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo ili waweze kusaidia kuhimiza watendaji wao.

Linkages

StakeholderHow you worked with them
Watendaji wa ofisi za Vijiji na Kata, Idara mbalimbali katika ofisi ya Mkurugenzi.Tuliwahusisha katika mafunzo ya uwazi na uwajibikaji katika kila kijiji na kata.
Ofisi ya mkuu wa Wilaya, Maafisa tarafa kwenye kata kunakotekelezwa mradi.Tunawashirikisha kabla ya kuanza mafunzo na wakati mwingine kuwa wageni rasmi katika kufungua na kufunga mafunzo hayo.
NGOs, CBOs, Madhehebu ya dini.Wanashiriki katika mafunzo yanayoendeshwa katika maeneo walipo.

Future Plans

Activities Planned1st Month2nd Month3rd Month
Kuendesha mafunzo kwa Viongozi wa vikundi na watendaji wa Vijiji na Kata ya Mkange na Yombo kwa siku nne (4) kila kata. v v v

Beneficiaries Reached

    Direct BeneficiariesIndirect Beneficiaries
WidowsFemale(No Response)(No Response)
Male (No Response)
Total(No Response)(No Response)
People living with HIV/AIDSFemale(No Response)(No Response)
Male(No Response)(No Response)
Total(No Response)(No Response)
ElderlyFemale(No Response)(No Response)
Male(No Response)(No Response)
Total(No Response)(No Response)
OrphansFemale(No Response)(No Response)
Male(No Response)(No Response)
Total(No Response)(No Response)
ChildrenFemale(No Response)(No Response)
Male(No Response)(No Response)
Total(No Response)(No Response)
DisabledFemale(No Response)(No Response)
Male(No Response)(No Response)
Total(No Response)(No Response)
YouthFemale(No Response)(No Response)
Male(No Response)(No Response)
Total(No Response)(No Response)
OtherFemale7401480
Male340520
Total10802000
(No Response)

Events Attended

Type of EventWhenLessonsActions Taken
Usimamizi wa Ruzuku (MYG), 2009Namna ya kutunza kumbukumbu za fedha.Shirika lilipata ruzuku kutoka The foundation na kuanza kutekeleza mradi kwa miaka mitatu (3) 2010-2012
Tamasha la Asasi za Kiraia2010Ushirikishwaji wa wadau, Tuzo kwa Asasi zilizofanya vizuri katika shughuli zake, kubadilishana mawazo na mashirika mengine yenye Mitandao mikubwa hapa nchini.Shirika limetumia uzoefu uliopatikana kupitia Tamasha hilo na kuboresha shughuli za shirika.

Attachments

« Previous Next »

Add a comment

Your name:
Your location:
Your email:
(optional)
Your email address will not be published.