Envaya
Maeneo ya ukurasa huu ni kwa Kiingereza. Hariri tafsiri

large.jpg

Wana vikundi kutoka vijiji vya Mbambo, Kambasegela na Ilamba wilayani Rungwe mkoa wa Mbeya wakiwa kwenye picha ya pamoja na Afisa Maendeleo ya Jamii Agnes Elikunda, na Mkuu wa Idara ya Mifugo Dr. Sangwa wa Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo, baada ya kutoa mafunzo ya uhamasishaji kuhusu ufugaji wa kuku, sungura na nyuki! Kulia (aliyevaa koti) ni Mratibu wa Mpalano CDO, Edson Mwaibanje. Mafunzo hayo yaliandaliwa na Mpalano CDO Juni 30-31, 2018.

large.jpg

Wana vikundi kutoka vijiji vya Mbambo, Kambasegela na Ilamba wilayani Rungwe mkoa wa Mbeya wakiwa kwenye picha ya pamoja na Afisa Maendeleo ya Jamii Agnes Elikunda, na Mkuu wa Idara ya Mifugo Dr. Sangwa wa Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo, baada ya kutoa mafunzo ya uhamasishaji kuhusu ufugaji wa kuku, sungura na nyuki! Kulia (aliyevaa koti) ni Mratibu wa Mpalano CDO, Edson Mwaibanje. Mafunzo hayo yaliandaliwa na Mpalano CDO Juni 30-31, 2018.

large.jpg

Baadhi ya Wanachama wa Kikundi cha Utunzaji wa Mazingira ya Ziwa Ikapu, walioamua kuacha kufanya shughuli hatari kwa mazingira ya ufyatuaji wa tofali na badala yake wameanza kufanya shughuli rafiki kwa mazingira ikiwemo kufuga nyuki na kufuga kuku. Mpalano CDO ni mlezi wa kikundi hicho kwa kukipatia ushauri na mafunzo.

large.jpg

Baadhi ya Wanachama wa Kikundi cha Utunzaji wa Mazingira ya Ziwa Ikapu, walioamua kuacha kufanya shughuli hatari kwa mazingira ya ufyatuaji wa tofali na badala yake wameanza kufanya shughuli rafiki kwa mazingira ikiwemo kufuga nyuki na kufuga kuku. Mpalano CDO ni mlezi wa kikundi hicho kwa kukipatia ushauri na mafunzo.

large.jpg

Paul Mwakalinga, Mmoja wa waanzilishi wa Kikundi cha Utunzaji wa MAzingira ya Ziwa Ikapu, kijiji cha Mbambo Halmashauri ya Wialaya Busokelo Mkoani Mbeya. Pichani anaelezea mradi wa Ufugaji nyuki.

Wajumbe wa vikundi vya Uzalishaji mali katika Kijiji cha Mbambo, Wakionesha vitendea kaz ili kuanza kazi rasmi baada ya mafunzo yaliyotolewa na Mpalano CDO kwa kushirikiana na Halmashauri ya Wilaya Busokelo mkoani Mbeya.

 

Members of Mpalano CDO Board during board meeting in Dar es Salaam recently.  

Mafunzo ya kuimarisha uwezo wa wanawake viongozi  Wilaya ya Mbozi kaza za Ichenjezia, Nyambili, Iyula, Isanza, Ipunga, Ihanda, Mlowo, Ruanda na Isandula. Kwa Ruzuku kutoka women Fund Tanzania.

 

June Mwaka 2016,Mpalano CDO kwa ruzuku kutoka Women Fund Tanzania (WFT) ilitekeleza mradi wa Kuwajengea uwezo Wanawake na Wasichana ili kukuza haki zao za kiuchumi na kisiasa Wilaya ya Mbozi, Songwe, Tanzania. Mradi huu uliwawezesha viongozi wanawake wa kuchaguliwa na wa vikundi vya kijamii wakiwemo wasanii kukuza sauti zao katika katika vyombo vya maamuzi. Vyombo hivyo ni pamoja na mahali wanapofanyia shughuli zao za kiuchumi na katika ngazi ya vijiji, mitaa na kata ili kuwa na ufanisi katika kuwasilisha na kuwakilisha sauti za wasichana na wanawake katika kudai haki kwenye ngazi husika za maamuzi katika wilaya ya Mbozi, mkoa mpya wa Songwe. Pichani ni sehemu ya washiriki  wa mafunzo hayo. Washiriki wanatoka katika kata 9 za Wilaya ya Mbozi: Ichenjezia, Nyambili, Iyula, Isanza, Ipunga, Ihanda, Mlowo, Ruanda na Isandula.