Envaya
Parts of this page are in Swahili. Edit translations

Tangazo :Mbunge wa Jimbo la Bumbuli, Mheshimiwa Januari Makamba  anapenda kuwaalika wenyeji wa Jimbo  la Bumbuli waishio Mkoa wa Dar-es-Salaam na Mkoa wa Pwani katika mkutano utakaojadili maandeleo ya Jimbo lao.  Mkutano utafanyika tarehe 4/8/2012 katika ukumbi wa KARIMJEE jijini DSM kuanzia saa tatu hasubuhi hadi saa saba mchana tafadhali  ukilipata tangazo ili mtaalifu na mwenzako

 

wako mwenyekiti wa mwela theatre group vuga  Salimina Magogo

July 31, 2012
« Previous Next »

Add a comment

Your name:
Your location:
Your email:
(optional)
Your email address will not be published.