Uru rupapuro ruragaragazwa mu rurimi rw'umwimerere Igiswayire. Edit translations
maisha bora kwa kila mwanajamii
Amakuru agezweho
TUNDUMA YOUTH DEVELOPMENT yashyizeho Amakuru agezweho.
kwa vijana waishio TUNDUMA,tunawatangazia nafasi za kujiunga na asasi yenu ya TUNDUMA YOUTH DEVELOPMENT.Kwa mawasiliano muone mwl. erick mrema wa jk Nyerere secondary
2 Gicurasi, 2012
TUNDUMA YOUTH DEVELOPMENT yakoze Korera ubushake paje.
asasi ina mpamgo wa kuanzisha mradi wa kufuga samaki ,tatizo ni mtaalamu wa kutusaidia kufuga samaki.kwa sasa tunahitaji ushauri na mradi ukianza tutahitaji mtaalamu wa kutunza samaki.mawasiliano 0768373804
2 Gicurasi, 2012
TUNDUMA YOUTH DEVELOPMENT yashyize Envaya ku rutonde rwe rwa ibigo by'abafatanya bikorwa
22 Mata, 2012
TUNDUMA YOUTH DEVELOPMENT yakoze Imishinga paje.
Kwa sasa asasi ina mkakati a kuanzisha bwawa la kufuga samaki katika maeneo ya kaloleni
22 Mata, 2012
TUNDUMA YOUTH DEVELOPMENT yakoze Amateka paje.
TUNDUMA YOUTH GROUP ni umoja ulioanzishwa na vijana wa ishio Tunduma kwa nia kubwa ya kusaidia vijana ili kufikia malengo mbalimbali waliyojiwekea katika maisha yao baada ya kuhitimu masomo katika ngazi mbalimbali. – malengo ya asasi hii isiyo ya kiserikali ni haya yafuatayo – 1.kutoa elimu juu ya ukimwi na magonjwa... Soma ibindi
22 Mata, 2012
TUNDUMA YOUTH DEVELOPMENT yakoze Ikipe paje.
Mwenyekiti ERICK MREMA – Katibu :LUGANO MWAKITALIMA – Mtunza fedha:ELIZABERTH NGOYA – Wajumbe:BURCHARD KISHAMBA – :PATRICK GUMBO – :SHABANI MRISHO
22 Mata, 2012
Ibyiciro
Aho uherereye
TUNDUMA,MBEYA, Mbeya, Tanzaniya
Reba ibigo mwegeranye
Reba ibigo mwegeranye
MATUKIO