Envaya

DR JOEL SILAS  akielezea juu ya fursa na Miradi  inayotekelezwa na UNDP kwa vijana  akiwa Misungwi, Pembeni kulia Afisa maendeleo ya vijana [W] Misungwi ,Akifuatilia maelekezo ya Dr. kwa umakini mkubwa.

 

 

 

 

MR AGAPE TOM mshauri elekezi wa UNDP akifafanua jambo mbele ya wanachama wa Misungwi vijana  saccos na jukwaa la vijana wa Misungwi.

November 21, 2013
« Previous Next »

Add a comment

Your name:
Your location:
Your email:
(optional)
Your email address will not be published.