Fungua
MWANAKWEREKWE ENVIRONMENTAL ETHICS AND CULTURAL ORGANIZATION (MEECO)

MWANAKWEREKWE ENVIRONMENTAL ETHICS AND CULTURAL ORGANIZATION (MEECO)

Zanzibar, Tanzania

Katibu wa Jumuiya ya MEECO ndugu Suleiman Jeni Pandu akimkabidhi Taarifa ya Mafanikio na Changamoto za wanajamii wa wilaya ya Kusini,  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi  Mh. Ali Mohammed Shein katika kijiji cha jozani alipokuwa katika ziara yake ya kutembelea Mikoa yote ya Zanzibar kuangalia Miradi mbalimbali ya Meendeleo Mikoani humo.

23 Oktoba, 2012
« Iliyotangulia Ifuatayo »

Ongeza maoni

Jina lako:
Mahali ulipo:
Email yako:
(sio lazima)
Anwani yako ya email haitachapishwa.