Fungua
MWANAKWEREKWE ENVIRONMENTAL ETHICS AND CULTURAL ORGANIZATION (MEECO)

MWANAKWEREKWE ENVIRONMENTAL ETHICS AND CULTURAL ORGANIZATION (MEECO)

Zanzibar, Tanzania

large.jpg

Moja ya vijana walioathirika kutokana na ukosefu wa elimu ya maadili ndani ya Mji wa Mwanakwerekwe. Vijana hawahawa huwa ndio waharibifu wakubwa wa mazingira hususan kwa uchimbaji wa mchanga katika mji huo na maranyigi ni vigumu sana kuwakabili kwani huwa na silaha kama mapanga,visu nk. MEECO inawakati mgumu na kazi nzito kuhakikisha suala hilo linaondika kabisa katika jamii ya Zanzibar

22 Septemba, 2011
« Iliyotangulia Ifuatayo »

Ongeza maoni

Jina lako:
Mahali ulipo:
Email yako:
(sio lazima)
Anwani yako ya email haitachapishwa.