Mkurugenzi Wizara ya Kazi Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi na Ushirika Nd. Ameir Ali Ameir (Aliyesimama)ambae pia ni miongoni mwa walezi wa jumuiya hiyo akihutubia wanachama na wageni waalikwa katika sherehe za kumuaga Mshauri wa Kigeni wa Jumuiya ya MEECO Bibi Katrina Demullang iliyofanyika katika kijiji cha Meli nne Mbarali Mkoa wa Mjini Unguja Wilaya ya Magharib
22 Septemba, 2011