Kansa ni tatizo linaloongezeka sana katika jamii ya Watanzania kutokana na kubadilika kwa mfumo wa maisha ya asili. Maisha ya kisasa hasa ulaji wa vyakula vilivyosindikwa kwa kemikali, huchangia ongezeko la tatizo hili, chukua tahadhari.
12 Ukuboza, 2013