Envaya
Parts of this page are in Swahili. Edit translations

large.jpg

Katika utekelezaji wa kweli wa maendeleo ya Tanzania tunahitaji viongozi wachapakazi wenye moyo wa kutumikia wananchi na kukubali ushauri bila kujali nyadhfa zao. Bi.Fatma Said Ally ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya Chamwino ni miongoni mwa viongozi ambao wanapongezwa na wananchi kutika juhudi zake za kuwa karibu na wananchi,taasisi pamoja na wadau katika Wilaya yake kwa lengo la kuwaletea maendeleo. MED inampongeza kiongozi huyu na kumtakia kila la kheri katika kutimiza azma yake ya kuifanya Wilaya ya Chamwino kuwa Wilaya zenye maendeleo chanya.(Pichani aliye simama ni mkuu wa Wilaya ya Chamwino Bi.Fatma Said Ally,kulia ni Bw. Baltazar Ngowi Afisa utumishi mkuu wa halmashauri ya Wilaya ya Chamwino na kushoto ni Bw.Davis Makundi mratibu wa shirika la Marafiki wa Elimu Dodoma.)(MED).

February 27, 2013
« Previous Next »

Add a comment

Your name:
Your location:
Your email:
(optional)
Your email address will not be published.