Fungua
LIGHT DREAM ORGANIZATION

LIGHT DREAM ORGANIZATION

HEADQUARTERS MWANZA, Tanzania Mainlannd

Mradi wa Kuendesha Ulingo wa Mabaraza ya Rasimu ya Kabtiba Mpya

Kwa ufadhili wa foundation for civil Society asasi ya LiDO imeweza kuendesha washa hiyo kwa muda wa siku tatu tangu 26 hadi 28/2013.

washa hii iliyo fanyikia kwenye kivuli cha RM hotel ilikuwa ya tofauti na iliweza kuhudhuliwa na watu wapatao 109 wa jinsia zote na makundi mchanganyiko. Habari kamili tutazipata hivi karibuni. 

14 Septemba, 2013
« Iliyotangulia Ifuatayo »

Ongeza maoni

Jina lako:
Mahali ulipo:
Email yako:
(sio lazima)
Anwani yako ya email haitachapishwa.