Envaya

Mradi wa Kuendesha Ulingo wa Mabaraza ya Rasimu ya Kabtiba Mpya

Kwa ufadhili wa foundation for civil Society asasi ya LiDO imeweza kuendesha washa hiyo kwa muda wa siku tatu tangu 26 hadi 28/2013.

washa hii iliyo fanyikia kwenye kivuli cha RM hotel ilikuwa ya tofauti na iliweza kuhudhuliwa na watu wapatao 109 wa jinsia zote na makundi mchanganyiko. Habari kamili tutazipata hivi karibuni. 

September 14, 2013
« Previous Next »

Add a comment

Your name:
Your location:
Your email:
(optional)
Your email address will not be published.