Watoto wakiendelea kutoa mawazo yao kwa mkurugenzi wa liDO na kusema kuwa wangetaji kusoma zaidi, kuendesha ndege,kumtumikia Mungu ...
Moja kati ya kazi kubwa ya zile zinazo fanywa na LiDO kusaidia watoto waishio vijijini. kwa kutumia mbinu mbalimbali asasi hii huweza kukaa na kuongea na watoto kupia michezo yao.
Je, umewahi kufanya kazi na watoto? sio lazima kwamba kazi ya watoto utanza na watoto wengi!
Mradi wa Kuendesha Ulingo wa Mabaraza ya Rasimu ya Kabtiba Mpya
Kwa ufadhili wa foundation for civil Society asasi ya LiDO imeweza kuendesha washa hiyo kwa muda wa siku tatu tangu 26 hadi 28/2013.
washa hii iliyo fanyikia kwenye kivuli cha RM hotel ilikuwa ya tofauti na iliweza kuhudhuliwa na watu wapatao 109 wa jinsia zote na makundi mchanganyiko. Habari kamili tutazipata hivi karibuni.