Kilimani Saccos ni Jumuiya ya kiraiya ina lengo la kusaidia wanachama wake waweze kuboresha maisha yao ya kiuchumi, kijamii na maendeleo ya watu na mahala wanopo ishi. Mtu wa umri wa miaka 18 au zaidi aweza kujiunga kwa kujaza fomu ya jumuiya na kuwezeshwa katika shughuli za kijumuiya kwendana na Katiba ilosajiliw baada ya kuundwa jumuiya mnamo tarehe 8 mwezi wa Aprili mwaka 2007.
Mabadiliko Mapya
KILIMANI SACCOS imeumba ukurasa wa Miradi.
SACCOS kitengo ambacho wanachama huweka na kukopa
26 Mei, 2011
KILIMANI SACCOS imejiunga na Envaya.
26 Mei, 2011
Sekta
Sehemu
Kaskazini A, Unguja Kaskazini, Tanzania
Tazama mashirika ambayo yapo karibu
Tazama mashirika ambayo yapo karibu