PICHA YA PAMOJA YA WATOTO WANAOISHI KATIKA MAZINGIRA MAGUMU WAKIWAAGA VIONGOZI WA KIWO JULY 2013
PICHA YA PAMOJA YA WATOTO WANAOISHI KATIKA MAZINGIRA MAGUMU BAADA YA KUFARIJIWA NA VIONGOZI KIWO.
watoto wa mitaani wakiambatana na viongozi kumtembelea mama aliyeangukiwa na nyumba
watoto wa mitaani walipotembelewa na viongozi wa KIWO. mwennyekiti katibu na mweka hazina.
mama kulwa malila aliangukiwa nyumba mwaka jana hana pa kuishi ni mjane anaishi kisesa. alitembelewa na viongozi wa kiwo alipewa sukari na sabuni
wajunbe wa kamati wanamuaga bi Rose joseph anbaye anawambia kuwa anapata shs.elfu kumi kila jumatano na ijumaa kwa kuomba omba jijini mwanza,kisesa iko mpakani mwa magu na jiji la mwanza.
wajunbe wa kamati wanaendelea kumpa ushuri nasaha kwa vile ni kipofu anbaye maisha yake ni ya kuomba omba. na ameoa mwanaume ambaye hana kazi yeye ndiye anayetagemewa kwa maisha ya mjini.mwanaume eti analima.
wajumbe wa kamati tendaji wakimpa Rose joseph vifaa vya kujikimu maisha ,sabuni,sukari mafuta na dawa za kuondoa upele.
wajumbe wa kamati tendaji wakiendelea kumpa maelekezo ya kujisaidia kujiondolea upweke, na umaskini.pia wanampa vifaa vya kujikimu,sabuni,sukari,mafuta na dawa
wajumbe wa kamati tendaji wakimpa ushuri nasaha mirenbe charles mjane, anayeishi katika mazingara magumu na watoto wadogo wanne wote hawajaanza shule.