Ndugu Musa madua:akitoa mada,na kusisitiza kuwa Huduma za jamii ni mhimu sana kwa wananchi.
Ndugu Tabwe Hiza:Mwenyekiti wa KIUNGONET-akiwakaribisha wananchi kushiriki kikamilisha kutoa Kero zao kwa utulivu.
Ndugu,John B.Mosha-Mkurugenzi Mtendaji-KIUNGONET akimkaribisha Mgeni rasmi na Kutoa neno kwa Washiriki.Mosha amesisitiza wananchi kutumia Fursa ya Mdahalo kutoa kero zao kwa kuwa Ni Nadra viongozi kukutana na wananchi kwa lengo la kujibu Kero zao.
Mwakilishi wa Mkuu wa Wilaya,Bi Margereth Heguye mgeni Rasmi wa Mdahalo-Akiingia na Kukaribishwa ukumbini.
Rwegasira Josephati-Kaimu mkurugenziKUWASA-akijibu na Kufafanua Kero za maji zilizoelekezwa Idara ya maji.Bei ya Maji kupanda na Kukosekana kwa Bili za maji kulikuwa Gumzo ya Mdahalo.
Mwakilishi wa Meneja Wa Tanesco-akijibu Kero za Wananchi.Katika Mdahalo uliofadhiliwa na The Foundation For civil society.
Wakuu wa Idara kutoka Idara ya Maji(KUWASA)Kushoto-Josaphati Rwegasira na Meneja TANESCO-Bi Mama Mwingira wakiteta Jambo.