Injira
Huruma Care Development

Huruma Care Development

Arumeru, Tanzania

Huruma Care Development ni Taasisi isiyo ya Kiserikali inayojihusisha na kazi ya kuwasaidia watoto yatima, wanaoishi katika mazingira magumu, walemavu na wajane.

Madhumuni yake makuu ni kuwapatia watoto elimu ili wawe na uwezo wa kuendeleza maisha yao ya baadaye. Pamoja na hayo wajane na walemavu ambao hawana uwezo wa kujisaidia watasaidiwa na Taasisi yetu.

Kwa kifupi Taasisi inajali wale yatima, walemavu, wajane na watoto wanaoishi katika hali duni ya maisha na mazingira magumu / hatarishi

Amakuru agezweho
Huruma Care Development yashyizeho Amakuru agezweho.
24 Ukuboza, 2012
Huruma Care Development yongeyeho 15 Amakuru agezweho.
Kuwahudumia watoto yatima na kuwapa maadili ya kiroho pia ni jamnbo jema kwao kama inavyoonekana kwa watoto hawa ambao baadhi yao wamebatizwa na kubarikiwa
2 Ugushyingo, 2012
Huruma Care Development yashyizeho Amakuru agezweho.
Hawa ni baadhi ya watoto wakiwemo viziwi na bubu (4)wakijumuika katika masomo ya ziada. Hii ni changa moto kubwa kwa wanafunzi hawa wenye elemavu huu kutokana na uchache wa waalimu wa haiba yao. Soma ibindi
17 Nzeli, 2012
Huruma Care Development yashyizeho Amakuru agezweho.
Familia ya mama huyu ambaye ni mjane na mwenye matatizo ya akili anaishi na wanawe wanne akiwa hana msaada. Anaishi kijiji cha Bashay wilaya ya Karatu
14 Nzeli, 2012
Huruma Care Development hari ibyo yahinduye kuri Amateka paje.
Huruma Care Development abbreviated HUCADE is an non Goverment Organization whose aim is to empower vunerable groups such as orphans, street children, edged people and widows as well as the children with diabilities in order to help themselves in future. – HUCADE wa established in 2004 with 7 children by mrs Agnes Mollel who is... Soma ibindi
27 Kanama, 2012
Huruma Care Development yashyizeho Amakuru agezweho.
The Person with Disabilities Act 2010 provide for prohibition of discrimination of any kind in the provision of education at all levels, including higher learning institution. HURUMA CARE DEVELOPMENT , believe that Person with disabilities in all ages and gender shall have the same rights to... Soma ibindi
12 Werurwe, 2012
Ibyiciro
Aho uherereye
Arumeru, Arusha, Tanzaniya
Reba ibigo mwegeranye