Envaya

1.Elimu na mazingira ni shirika linalojishughulisha na usafi wa mazingira pamoja na kutoa elimu juu utunzaji bora wa mazingira.

2.Upandaji wa miti kwenye vyanzo vya maji.

3.Matumizi sahihi ya ardhi kwaajili ya kilimo.

2 Mei, 2012
Ifuatayo »

Maoni (1)

MESHACK MICHAEL (ARUSHA) alisema:
NINAPENDA KUTANGULIZA SHUKRANI ZA DHATI KWA HUDUMA YA KUTANGAZA KAZI ZA ASASI ZA KIRAIA.NINACHOPENDEKEZA TUNAOMBA KUPATA MAFUNZO ZAIDI KWAAJILI YA KUBORESHA KUHARIRI TOVUTI PAMOJA NA KUTUMIA MVUMO WA SIMU ZA MKONONI NITASHUKURU SANA.
2 Julai, 2012

Ongeza maoni

Jina lako:
Mahali ulipo:
Email yako:
(sio lazima)
Anwani yako ya email haitachapishwa.