Envaya
Uru rupapuro ruragaragazwa mu rurimi rw'umwimerere Igiswayire. Edit translations

shirika la mazingira elimu lilianza mwaka 1999 katika kijiji cha Ilikisongo wakati wa mradi wa utafiti toka ujerumani ulipoingia ulioutafiti kwenye mboga mboga kwaajili ya visumbufu vya mimea.Hatimaye kusajiliwa rasmi mwaka 2010.Hivyo shirika lilisajiliwa rasmi mwaka 2010 na linaendelea na kazi za jamii ya watanzania kwa lengo kuu la kutoa elimu,mpaka sasa shirika lina wanachama 75