Fungua
Environment and Health Tanzania
Maeneo ya ukurasa huu ni kwa Kiingereza. Hariri tafsiri

large.jpg

Mkurugenzi Mtendaji wa Environment and Health Tanzania-EHETA,Bi Hagulwa Balisidya(wa kwanza kushoto) akifatilia kwa makini mada iliyokuwa ikifundishwa katika mafunzo juu ya uchambuzi wa madhara yatokanayo na mabadiriko ya tabia nchi,mafunzo hayo ya siku mbili,yalifanyika katika ukumbi wa jengo la ofisi ya kijiji cha Matongo katika kata ya Matongo,na ilishirikisha wanavijiji 50 kutoka katika vijiji 5 kata hiyo.Mafunzo hayo yalifanyika January 13 & 14,2015 na yameandaliwa na asasi ya Environment and Health Tanzania- EHETA ya Mkalama SIngida kwa ufadhiri kutoka The Foundation for Civil Society.

13 Februari, 2015
Ifuatayo »

Ongeza maoni

Jina lako:
Mahali ulipo:
Email yako:
(sio lazima)
Anwani yako ya email haitachapishwa.