Envaya

large.jpg

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Vijana wa CUF - Tabora Manispaa

large.jpg

Mwenyekiti wa BAVICHA - Tabora Manispaa, Ndugu Saimon

large.jpg

Mwenyekiti wa UVCCM - Tabora Manispaa, Ndugu Nassoro Wazambi.

large.jpg

Vijana katika JUKWAA LA VIJANA lililokutanisha wenyeviti wa jumuiya za vijana za vyama vya CCM(UVCCM), CHADEMA(BAVICHA) na CUF(JUMUIYA YA VIJANA) wilaya ya Tabora Manispaa.

large.jpg

Mkurugenzi Mtendaji wa CYF ambaye alikuwa ndiye mwenyekiti wa JUKWAA LA VIJANA

large.jpg

Vijana katika JUKWAA LA VIJANA lililokutanisha wenyeviti wa jumuiya za vijana za vyama vya CCM(UVCCM), CHADEMA(BAVICHA) na CUF(JUMUIYA YA VIJANA) wilaya ya Tabora Manispaa.

large.jpg

WEZESHA Project

WEZESHA SERA YA TAIFA YA MAENDELEO YA VIJANA ITUMIKE KWA VIJANA

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

Bango la CYF kama linavyoonekana pichani

MIJADALA YA EWURA CCC / WORLD BANK MKOANI TABORA

Vijana kutoka katika kata mbali mbali ndani ya Manispaa ya Tabora, wakijadili mada zinazowezeshwa na EWURA CCC/ WORLD BANK. Mijadala hiyo ni juu ya masuala ya Maji safi na taka, Nishati ya Mafuta, Gesi na Umeme.

KUTANDAA NI JUKUMU LA CYF PIA.

Wajumbe wa Mtandao wa Elimu Tanzania (TEN/MET) katika picha ya pamoja wakati wa mkutano uliofanyika katika ukumbi wa Ubungo Plaza - Dar es Salaam. Mkurugenzi wa CYF Bw. A. D. Pigangoma (aliyesimama mstari wa mbele wa 5 kutoka kushoto)