Ni jambo linaleta faraja kubwa kwa kiongozi kwenye busara kuwa karibu na wananchi wake kujua changamoto zinazowakabiri,kuzungumza kulingana na mazingira wanayoishi,kwani zipo semi mbalimbali zinenazwo"kama hatutaweza kukaa karibu nao tukazungumza nayo,na wao kuwa karibuni nasi na kuzungumza nasi,hata nasi kamwe tuwezi tukazungumza tukaelewana.
Kiongozi wa kweli kuonyesha mfano,kwa kuzungumza na watu wake bila ya kujali dini,rangi au utaifa wake,hiyo ndio chimbuko la maendeleo ya kweli kwa kuifanya dunia kuwa mahali pa amani,pasipo na mfarakano na masengenyo.
5 Machi, 2012