Viongozi wa serikali ni wadau wakubwa wa maendeleo na asasi zisizo za kiserikali kwa kuwa lengo ni moja kuhakikisha ya kuwa wananchi wanapata maendeleo katika maeneo yao na kuzikabili changamoto mbalimbali wanazokutana nazo wakati wa kutekeleza majukumu yao
19 Februari, 2012