Envaya
Uru rupapuro ruragaragazwa mu rurimi rw'umwimerere Icyongereza. Edit translations

 

UMOJA WA WAZAZI   TANZANIA

SHULE YA SEKONDARI   BOZA

S.L.P 87 SIMU 0272630065 /0713-935 335/ 078 539 141 

Email:bozasec@yahoo.com.PANGANI

FOMU YA MAOMBI YA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2015

JAZA FOMU HII KWA USAHIHI NA HERUFI KUBWA

FOMU NAMBA:_________________

A . (I)Fomu inatolewa kwa malipo ya Tshs. 5000/=[elfu tano tu]

       (II)SHULE ILIKO NA ILIVYO:

Shule iko katika wilaya ya Pangani,Mkoa wa Tanga ,Bweni na kutwa wasichana na wavulana,kuanzia kidato cha kwanza hadi   cha nne.

Shule inatoa taaluma ya masomo yafuatayo;

a)       Hisabati  (b) Kemia   (c) Fizikia (d) Elimu viumbe (e) Kiingereza (f) Kiswahili  

g)   Historia   (h) Jiografia (i) Uraia.                                                                                                                                Pia shule inatoa mafunzo ya ufundi ufuatao

                                     a .Umeme   b. Uashi   c . Useremala   d. Bomba

   (III)Karo ni nafuu kwa wazazi wenye kipato cha chini.

B.       TAARIFA ZA MWANAFUNZI MWOMBAJI

         1 …………………………         ………………………………           …………………………………………

           (Jina la mwanafunzi)                       (Jina la baba)                                    (Jina la ukoo)

         2. Jinsia msichana/ mvulana……………………………………………………………………………………

         3. Wilaya aliyotoka …………………………………………………(ii)tarehe ya kuzaliwa……………………

         4. Wilaya anayoishi…………………………………………………………………………………………

         5. Mkoa……………………………………………………………………………………………………………

         6. Mwaka wa kumaliza darasa la saba………………………………………………………………………

         7. Namba ya mtihani…………………………………………………………………………………………..

         8. Alama alizopata katika mtihani(%)Hisabati……………………………..Lugha…………………………

         9. Jina na sahihi ya mwalimu mkuu…………………………………………………………………………..

       10 .Muhuri wa mwalimu mkuu…………………………………………………………………………………

       11.Jina la mzazi /mlezi………………………………………………………………………………………….

       12.Anwani…………………………………………………………………………………………………………

        13.Kazi……………………………………………………………………………………………………………

       14.Namba ya simu (kama ipo)ya kazini………………………………     ya nyumbani………………………

          Ya jirani……………………

       15.Picha ya passpoti ibandikwe juu ya fomu hii na zingine tatu ziletwe kwa matumizi ya Ofisi.Picha zitakazotolewa ziandikwe jina la mwanafunzi. Fomu isiyobandikwa picha ni batili.

C . AHADI MAALUM

Kwa Mzazi/Mlezi.

(I) Mtoto wangu akichaguliwa itanipasa   nifuate taratibu zote za shule.

(ii)Nakubali   kumlipia ada ya shule na kumpatia mahitaji mengine muhimu yanayohitajika shuleni mwanzo wa kila muhula ili asiache masomo na kuja nyumbani kufuata mahitaji hayo.

Tarehe……………………………………………………………. Sahihi……………………………………………………………..

D. TANBIHI.                                                                                                                                                                                           .           1 Fomu hii ijazwe kwa usahihi na ukweli

           2.Tarehe ya mwisho ya kurudisha fomu hii ni tarehe…………………………………………………….

           3.Fomu hii ikishajazwa irudishwe / itumwe shuleni BOZA mara moja ili isisahaulike.

     Nakutakia maandalizi mema.

                                                                 …………………………………………………………..

                                                                                             MKUU WA SHULE





UMOJA WA WAZAZI TANZANIA

SHULE YA SEKONDARI NA UFUNDI BOZA

(BOZA SECONDARY AND VOCATIONAL SCHOOL)

                               S.L.P. 87,PANGANI-TANGA

Email:bozasecondary@yahoo.com           simu na:0713-935 335

                                                                                         0784 539 141                 

                       MAHALI SHULE ILIPO

       Shule ya sekondari na ufundi Boza ilianzishwa mwaka 1977. Shule hii ipo mkoa wa Tanga,wilaya ya Pangani, kijiji cha Boza. Kutoka Tanga mjini au Pangani mjini shuka kibaoni Boza njia panda ya Muheza,kasha fuata barabara ya Muheza mwendo wa km 1 utaona kibao cha kuingia shuleni mkono wa kushoto.Ukitokea Muheza unashuka kwenye kibao cha kuingilia shuleni. Shule ipo kandokando ya Bahari ya Hindi.

                                       

 

                                          

  • Shule imesajiliwa (REG.NO.S.0221) na namba ya mtihani iliyosajiliwa                                   ni (EXAM.NO.S.0395).
  • Shule ni ya bweni na kutwa kwa wasichana na wavulana.
  • Masomo yanayofundishwa ni;

HISTORY, CIVICS,GEOGRAPHY, KISWAHILI, ENGLISH, CHEMISTRY, BIOLOGY, na BASIC MATHEMATICS

  •      Masomo ya ufundi yanayofundishwa ni; USEREMALA (CARPENTRY AND JOINERY), UASHI (MASONRY AND BRICK LAYING), BOMBA(PLUMBING AND PIPE FITING) na UMEME WA MAJUMBANI (Eletrical installation).
  • Shule ina mazingira tulivu ya kujisomea.
  • Shule ya sekondari Boza ina walimu wazoefu na wachapakazi.
  • Ada ni nafuu ikilinganishwa na huduma zitolewazo.

KARIBUNI WOTE BOZA SEKONDARI.


TANGAZO                    TANGAZO       TANGAZO

MKUU WA SHULE YA SEKONDARI NA MAFUNZO YA UFUNDI BOZA, ANAWATANGAZIA WAZAZI,WALEZI NA WANAFUNZI WALIOMALIZA DARASA LA SABA KUWA;

  1. NAFASI BADO ZIPO ZA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA HUU WA 2013
  2. NAFASI KWA WANAOTAKA KUHAMIA VIDATO VYA II,III,NA IV ZIPO.
  3. NAFASI ZIPO KWA WANAOTAKA KUSAFISHA VYETI VYAO VYA KIDATO CHA NNE YAANI

(RESEATERS).

MASOMO YANAYOFUNDISHWA BOZA SEKONDARI NI;

CIVICS,HISTORY,GEOGRAPHY,KISWAHILI,ENGLISH,CHEMISTRY,PHYSICS,BIOLOGY NA BASIC MATHEMATICS.

MASOMO YA UFUNDI YANAYOFUNDISHWA BOZA SEKONDARI NI: USEREMALA,BOMBA NA UASHI.MWANAFUNZI ANAYESOMA MASOMO YA UFUNDI ATAKAPOHITIMU KIDATO CHA NNE ATATUNUKIWA CHETI CHA UFUNDI VETA.

  • SHULE YA SEKONDARI BOZA IPO MKOA WA TANGA ,WILAYA YA PANGANI, KIJIJI CHA BOZA
  • NI SHULE KONGWE,ILIANZISHWA MWAKA 1977
  • SHULE YA SEKONDARI BOZA NI YA KUTWA NA BWENI MCHANGANYIKO WAVULANA NA WASICHANA
  • SHULE YASEKONDARI BOZA INA WALIMU WAZOEFU NA WACHAPAKAZI
  • MAZINGIRA YA BOZA SEKONDARI NI TULIVU KWA KUJISOMEA
  • ADA NI NAFUU SANA IKILINGANISHWA NA HUDUMA ZITOLEWAZO.

FOMU ZA KUJIUNGA NA BOZA SEKONDARI ZINAPATIKANA ;

1.SHULENI BOZA SEKONDARI

2.OFISI ZA JUMUIYA YA WAZAZI PANGANI,NA MKOANI TANGA

3.MWENYEKITI WA BODI YA SHULE – MOB: 0713 935 335, 0784 539 141.

KWA MAWASILIANO  Mpigie mwenyekiti wa Bodi                                                                                                                                    WOTE MNAKARIBISHWA   BOZA  SEKONDARI






21 Mutarama, 2013
Ahakurikira »

Ibitekerezo (11)

Changular Ereneo mlula (Kibaha Tanzania) bavuzeko
Pia kwa watu wa boza walioko kwenye mtandao wa kijamii wa facebook tuna group yetu inaitwa boza sec school mates unaweza jiunga kupata mambo mbalimbali
26 Nzeli, 2013
ADRIAN NYATTA (TANGA CITY) bavuzeko
wanafunzi wanaosoma Boza nawashauri msome kwa bidii kwani elimu mnayoipata itawasaidia maishani mwenu jitahidini katika masomoya ufundi yatawatoa kimaisha mnao waalimu wa ufundi wazuri na mazingira ya shule ni tulivu hakunavishawishi someni kwa bidii .[1994 at Boza sec.school]
23 Gashyantare, 2014
amani (mabibo NIT chuo cha taifa cha usafirishaji) bavuzeko
boza sec endelea kuboresha mazingira ya kusoma kwa kukuza kiwango cha ufaulu ili kuvutia zaidi wanafunzi kujiunga hapo. nawatakia mafanikio
22 Gashyantare, 2015
charles michael (dar es salaam) bavuzeko
Nahitaji kujiuna shule yenu
4 Mutarama, 2016
amani masue (via email) bavuzeko
Karibu. Shule inamilikiwa na CCM- Jumuia ya wazazi. Iko Pangani mkoani
Tanga.
10 Mutarama, 2016
Romanus Christopher (Dar es salaam) bavuzeko
Natarajia kumleta mwanangu kujiunga na kidato cha kwanza kwa mwaka huu je itawezekana?
26 Gashyantare, 2016
amani masue (via email) bavuzeko
Ya inawezekana fika shuleni fomu znapatikana
26 Gashyantare, 2016
CHRISTOPHER ROMANUS (via email) bavuzeko
Ada ni kiasi gani kwa mwaka?
27 Gashyantare, 2016
saidi kalindura (Dar es salaam) bavuzeko
Napanga kumleta mwanangu asome hapo mm nipo dar es salaam.Ada kwa muhura ni shilingi ngapi ntafulahi ukinisaidi kwa hiro.au ni sms 0783213411.
13 Werurwe, 2017
Amani Masue (VSO, Masaki) bavuzeko
shule iko katika mandhari nzuri na yakuvutia kwani ipo karibu na bahari ya hindi. ina eneo kubwa na ina mazingira mazuri ya kujifunzia. CCM, WAzazi wajitahid kuboresha baadhi ya miundombinu na nafaham wako katika harakati hizo. karibuni pangani.
14 Ugushyingo, 2017
William (dar es salaam ) bavuzeko
nimevutiwa na shule ada ni ngap
25 Mutarama, 2018

Tanga igitekerezo

Izina ryawe:
Aho uherereye
Your email:
(optional)
Your email address will not be published.