KIAVI inapenda kuwajuza wapendwa wote katika mtandao wa envaya kuwa ligi ya KIAVI inayowahusisha vijana wa miaka chini ya 18,inatarajiwa kuanza jumamosi hii,tutawapa taarifa kila hatua. karibuni sana kwa maoni
16 Julai, 2012
Amkeni Vijana Center (AVI CENTER)MWANZA,ARUSHA, Tanzania |
KIAVI inapenda kuwajuza wapendwa wote katika mtandao wa envaya kuwa ligi ya KIAVI inayowahusisha vijana wa miaka chini ya 18,inatarajiwa kuanza jumamosi hii,tutawapa taarifa kila hatua. karibuni sana kwa maoni