1. Mada iliyowakutanisha vijana wengi kujadili ili kuepukana na umaskini
2.Baadhi ya vijana wa wilaya ya Magu waliohudhuria mdahalo unaoendeshwa na KIAVI maeneo ya taasisi ya elimu(TEACHERS RESOUCES CENTER-TRC) MADA"MATATIZO YATOKEAYO TANZANIA NI ZAO LA UTANDAWAZI NA UWAJIBIKAJI MBOVU"
3.mwenyekiti wa Kiavi Bw Gabriel Samalu Ng'osha akichangia mada hiyo katika mdahalo huo.
19 Februari, 2012